Recent content by Tiote

  1. T

    Membe akwama kutangaza nia

    Nataka nikuhakikishie ndugu yangu hapa kuna paradox ya hali ya juu. Watu wanayodai kwamba wamebung'aa wajumbe 1900 wa mkutano Mkuu na wajumbe 270 wa NEC ndiyo hawa unaowaona wanaokota thread chovu na kujaribu kutengeneza uongo ambao hata bure watu hawaupokei. Membe jana hakuwa na mpango wa...
  2. T

    Nape Ampongeza Lowassa kwa kutii Agizo la Chama

    Nape wewe ni jembe na ukweli wako ndiyo utakaokikomboa chama na nchi kutoka katika makucha ya wanaotaka kuleta anarchy. Si hao wameufyata na kufunga Duka na kukusanya mahema na viti vyao vya plastic. Wamebaki wachumia tumbo kubwata na kulalama kama mbwa MWITA. naaaaaaaaaaaaaaape!!!!!
  3. T

    Utafiti mpya: Lowassa aongoza tena mbio za urais

    Gazeti gani umesema?
  4. T

    Suala la ESCROW Tupunguze Too Much Sensationalism na ku Dramatize, BOT Did The Right Thing!

    Tatizo lako FaizaFoxy unaongea point sana halafu unapotea na kuacha wachangiaji uchwara humu wakitambatamba. Leo ukiwauliza watu wakueleze Escrow maana yake nini hata hawajui kitu lakini ndo wa kwanza kudandia hoja. Fedha hizi ni kwa huduma iliyotolewa kati ya 2006 na 2012 ambayo Tanesco...
  5. T

    Suala la ESCROW Tupunguze Too Much Sensationalism na ku Dramatize, BOT Did The Right Thing!

    Unashutumu wenzio wakati wewe ndiye unayeonekana kutojua unachozungumza. Mgogoro uliokuwepo kati ya IPTL na Tanesco kuhusu gharama za umeme uliisha na ndiyo maana makubaliano yalisainiwa na kuruhusu fedha zitoke. Na wala hakuna kesi iliyopo mahakamani kuhusiana na hilo kati ya IPTL na Tanesco...
  6. T

    Suala la ESCROW Tupunguze Too Much Sensationalism na ku Dramatize, BOT Did The Right Thing!

    Mimi huwa natoafutiana sana na Pasco katika mitazamo yake minig but give credit where it is due. katika hili Pasco yuko sahihi. Suala lililogonga vichwa vya habari na kwenye medani ya siasa ni uhalali wa kutolewa kwa fedha za Escrow kutoka BOT. kama alivyosema Pasco, fedha hizi zilikuwa chini ya...
  7. T

    Serikali iwachunguze waandaji wa Mashindano ya Miss Tanzania

    Hivi nyie mnadhani Serrikali haina kazi za maana? Hiyo kama inatokea ni business between a willing buy and a willing seller. Hakuna aliyelazimishwa hapa. Kila kitu serikali. Nyie ndiyo mmeiigniza serikali kwenye mgogoro wa wafanyabiashara binafsi kwa madai kwamba hela ya escrow ni ya serikali...
  8. T

    Mwigulu aruhusu kusafishwa kwa watendaji wasio waaminifu ndani ya Benki Kuu (BoT)

    Kweli JF imeporomoka walahi. Huu uchafu ambao walikuwa na uwezo wa kuuhakiki umeruhusiwa kuingia humu. Admin uko likizo au?
  9. T

    Sugu aelezea sakata la ndege ya Rais wa China

    Ndo mnataka kwa uchafu huu mtu akae kuujadili na kupoteza rasilimali. Kamwe nchi hii haitaonja maendeleo mpaka kizazi hiki kinachoishi kwa kushikana uchawi kitakapoondoka.
  10. T

    Sugu aelezea sakata la ndege ya Rais wa China

    Labda mimi sielewi maana ya hoja nzito. Toka lini uzushi ukawa ni hoja nzito? Waziri Membe amekanusha kwamba kitu cha namna hiyo kilitokea, kama ambavyo wizara ya Mambo ya Nje China ilivyokanusha vikali. Kati ya wote wanaoeneza uvumi huu na hata ile documentary, hakuna hata sehemu moja...
  11. T

    Petition: Beno Ndulu should resign!

    Brother my worries have been confirmed: That you have nothing between your ears. You have not come out clean on why the alleged slump of our shilling happened and whether or not this is phenomenon across the entire East African Region. You are linking him with IPTL, the same way some naïve...
  12. T

    Natamani kusikia hili kutoka kwa Bashe

    Majuma kadhaa yaliyopita, yule mshambuliaji wa kujitoa Mhanga aitwae Hussein Bashe (Certificate CBE) alitoa tuhumua nzito dhidi ya Waziri Membe, akimhusisha na tukio baya la shambulio dhidi ya Mhariri nguli wa magazeti ya New Habari Corportion, mmoja Bwana Absalom Kibanda ambaye bado anahudhuria...
  13. T

    Anguko la Mahanga kwenye NEC ni ushahidi tosha

    Hivi jamaa ile kesi yake dhidi ya Kainerugaba Msemakweli imeshia wapi? Si alijifanya kufungua kesi ya madai ya kashfa kuhusiana na Phd yake feki? Hivi mwanaume kama yile unapolamba mwanaume mwenzio viatu si ni kudhlailisha mke na familia yako kwa ujumla?
  14. T

    Hawa ndio washindi kuingia NEC ya CCM kwa uchaguzi wa Nov 11, 2012

    Miongoni mwa watu wailoumia sana na Chenge na Mke wake kwa sababu mke wake amesikika akilalama kwamba kuna usaliti umefanyika kwa sababu haiwezekani kwa fedha zote walizozitumia halafu mambo yageuke vile. Bashe amegeuzwa condom na hivi karibuni atatupwa maana hatakuwa na thamani. Maskini...
  15. T

    Mh. Edward N. Lowassa anapata wapi nguvu ya pesa?

    You are very right! Lakini tatizo hili la utajiri wa viongozi liko kwa Lowassa maana ndiye anayeleta fujo zote hizo!
Back
Top Bottom