Recent content by tinomkumbo

  1. T

    CHADEMA, Ludovick Rwezahula anaangamia mahabusu, utu uko wapi?

    Usiishie kuwashangaa CDM tu kwa hili la Kijana Ludovick ujifunze kua usaliti si kitu cha kushabikia hata kidogo. Yuda mwenyewe aliemsaliti YESU aliishia kujinyonga. Kama alipewa 50,000 ikiwa malipo ya awali basi yanamtosha kama ataona kadhulumiwa basi amshakati mwajiri wake aliemtuma. Yote ya...
  2. T

    Live updates: Matokeo ya udiwani kwenye kata za uchaguzi - Juni 16, 2013

    Niko singida kata ya iseke chadema wameibuka videdea!
  3. T

    Sijashiriki kurekodi mkanda wa video unaomwonesha ndg Lwakatare

    hayo hayatuhusu sana sana tunahitaji kuona unakua mstari wa mbele kutoa ushahidi mahakamani maana huko ndiko mbivu na mbichi zitajulikana.
  4. T

    Mtela Mwampamba Naomba Ujibu Haya Yafuatayo

    Kijana jibu hilo!!!!!!!!!! Hata kimya nacho ni jibu, ila hilo huwa jibu la wapumbavu.
  5. T

    CV ya mbunge wa Mtera, Livingstone Lusinde (Kibajaji)

    Bwana matusi kumbe la saba la leo!!!!! Kwa vyovyote hawezi sema la zamani kwani zamani ilikua mwisho la nane sio la saba. kumbe sitamshangaa tena kwa matusi yake hajitambui.
  6. T

    Kabla hajakuambia ukaandamane muulize Kama na familia yake itaandamana?

    Siwashangai wenye mawazo mgando kama mtoa mada hata enzi za Mandela walikuwepo na Mandela hakukata tamaa aliendelea na harakati hadi mwisho na baada ya ukombozi wanafiki wote kama nyinyi ndio walikua wa kwanza kupongeza ili wafikiriwe katika madaraka hamna lolote. Nyinyi mnafedha za rushwa na...
  7. T

    Mwenyekiti CCM mkoa Singida, Mgana Msindai atuhumiwa kupora machimbo ya madini

    Hapo ni Iramba Magharibi mbunge wao ni bwana matusi.
  8. T

    Mwenyekiti CCM mkoa Singida, Mgana Msindai atuhumiwa kupora machimbo ya madini

    Hana akili huyu mtu. Nadhani wana wa Iramba mashariki wanaakili sana kumpumzisha na wanawathibitishia Ccm kua mwisho wao wa kufikiri umefikia kikomo ndio maana wakampa madaraka ya juuu kwenye mkoa. Ni msindai huyu huyu alieanzisha mgogoro mkubwa kati ya ccm na manispaa ya Singida kwa kuruhusu...
  9. T

    Jeshi la Polisi Zanzibar latoa 'picha' ya aliyemuua padre Mushi

    Hii nayo sinema nyinge itapta kimyakimya kama zilizopita.
  10. T

    Sikumkimbia Dr. Slaa New Africa Hotel

    Naomba nikurekebishe kaka Lameck Mkumbo si kweli kwamba uliingia bila fedha katika siasa. Uliingia baada ya kutengeneza fedha za kutosha ulipokua BOT na ukafanikiwa kuwahadaa wanavijiji kwa kufadhili watoto katika shule za kata ambao wengi wao wameibuka na ziro kwa kua shule hizo zilianzishwa...
  11. T

    Juliana Shonza amlipua Mbowe

    Mkiitwa kuhojiwa kwenye vyombo vya habari muwe na vitu vya kuongelea vyenye maslahi kwa taifa huu sio wakati wa kuongelea elimu ya kiongozi ajaye bali ni wakati wa kuangalia matatizo ya taifa letu na jinsi ya kuyatatua.
  12. T

    Bashe amlipua Membe

    Nabado hadi mkutan uishe tutasikia mengi
  13. T

    Maajabu ya Mkuu wa Mkoa Wa Dodoma

    akapimwe akili zake
Back
Top Bottom