sahihisha status yako kuna tofaut kubwa sana kati ya kupenda na kupenda. katika mapenzi lazima upande mmoja uanze kupenda upande wa pili ndipo lije kuzaliwa neno tunapendana.Mwanaume unaposubr kupendwa kabla ya kuanza kupenda ujue kabisa kuna possibility kubwa ya kutendwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.