Kutokana na kuvunjika kwa mahusiano ya watu mbalimbali nimeona niwasaidie baadhi ya watu .kuna tofauti sana kati ya kupenda na kupenda,waatalamu wa mahusiano wana shauri kabla ya kuingia ktk mahusiano kwanza chunguza wewe mwenyewe umependwa au umependa kama umependwa basi kubari na anza uhusiano kama umependa usianze mahusiano hivyo penda unapo pendwa na usipende unapo penda sababu kule unapo pendwa ndiko kwenye raha na kule unakopenda huenda hupendwi ukaanza kuumia na mapenzi huku ukikutana na maudhi ya kila mara kosa ni kupenda usiko pendwa. hivyo jilazimishe kupenda unako pendwa mwisho utazoea kuliko kuwa mtumwa wa mapenzi.