Hello kakaz & Dadaz mko poa? Jamani mi nainshu moja tu, naomba tujuzane ili na mimi nijue, tatizo linalonikabili ni kwamba sijafahamu nini siri ya mafanikio, elimu yangu ni form four,na ni mwaka wa pili nipo nyumbani mara baada ya kushindwa kuendelea na masomo kutokana na kipato duni, nimekuwa...