Kwa akina gardner ni wapi? Tanga, dar au rombo? Huyo anayemponda alitaka ajenge rombo? Why?
Tunaropoka sana aisee
Mwanaume wa maana ni mwenye sustainable income na strong family ties
Unashangaa nini sasa?
Mbona wewe ni useless na Bado tunasoma posts zako
Hakuna ubwege Kama kuona wenzako hawafai
Jamaa alikua na upendo, mtu wa kujitoa na asiyenyanyua mabega
Tuje kwako sasa…. Hakuna hata pa kuanzia, useless
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.