Nataka kua tajiri mkubwa hapa bongo kupitia utalii lakini kikwazo kipo kwa marafiki, starehe nyingi, mademu na msimamo nashindwa kufocus
Sent using Jamii Forums mobile app
Mazingira mkuu coz bundi ni mnyama anaependa kujificha na viumbe wengine kutokana na uasili wake so sio rahisi kua kwenye maeneo kama hayo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza kabisa kiumbe chochote kinapokua katika na hali ya kukaribia kufa seli ndizo hunza kufa so bundi anaouwezo wa kutambua seli za kiumbe ambacho kinaenda kufa
Sent using Jamii Forums mobile app
Zipo nyingi mkuu moja wapo ya kufungua kijiwe cha kokoto nyeusi na kwa sasa ni biashara ambayo inatoka sana unaweza ukashusha mzigo wa 1mil na siku hiyo hiyo ukaisha na kwa kila mzigo unaoishia unafaida ya laki 3 hapo ni baada ya matumizi yote ila inahitaji uangalizi wa hali ya juu hasa kwenye...
Wabadilishe hao ma guide hawana facts alafu stori zilezile kila siku, tokea lini ndege akawa kwenye food chain ya mamba eti kisa mda mamba anapoacha mdomo wazi na wale ndege wanaoenda pale na kuingia mdomoni kwamba ni mtego.. nilishangaa sana nakuzim tv adi leo siangalii safari chanel hawajui...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.