Yani una njia mbili tu za kutoboa ndugu yangu utakapoongea na mwekezaji, zinategemea kama uko stage za mwanzoni kabisa kama wewe au kama tayari upo sokoni.
1. Ukiwa stage za mwanzoni ni ngumu zaidi kwa sababu idea ni 20% na team ni 80%.
Namaanisha kwamba mwekezaji hatajali sana kuhusu idea kama...
Kwanza Tafuta marketer au promoter mwenye jina umpe share chache na pesa ili atafute investor kwa niaba yako ..mawazo mazuri yako mengi sana ila kumfanya mtu awekeze kwenye kitu ambacho hajui team yako ikoje, kiwango cha risk, gross na net profit, ROI projection, proof of sales and demand...
Kwanza Tafuta marketer au promoter mwenye jina umpe share chache na pesa ili atafute investor kwa niaba yako ..mawazo mazuri yako mengi sana ila kumfanya mtu awekeze kwenye kitu ambacho hajui team yako ikoje, kiwango cha risk, gross na net profit, ROI projection, proof of sales and demand...
Kuna jamaa nilikua nabishana naye sana zaman kwamba nguo za mtumba ni bora kuliko special.
Nguo ya mtumba yenye quality ya juu inaweza ikazidi nguo special ya quality ndogo
Ila Special yenye quality inazidi mtumba yenye quality mbali sana...ikipungua quality itakua mtumba yenye quality
'Mama awalisha watoto sumu na yeye kajinyonga,' Inawezekana lengo la huyo mama ni zuri kabisa, hataki watoto wake wabak kwenye dunia yenye mateso...ila bado ni sahihi? Kuwa dikteta ni kujaribu ku dictate maisha ya watu kama huyo mama alivyowachagulia kifo watoto wake kwa lengo ambalo anaona ni zuri
Hayo ni mawazo na hisia binafsi. Fact ni kwamba Saudi Arabia na UAE ilisaidia serikali ya kisunni Yemen isiondolewe na Wahouth wakishia na Iran ilisaidia Wahouth kuchukua majimbo Yemen. Wasunni hawana misimamo mikali kama Washia na wengi wanaitambua Israel na wanashirikiana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.