Recent content by TimChoice

  1. T

    Kenya's economy compared to Tanzania in 2025, Nairobi beats Dodoma

    kapambane na linchi lenyu hilo limasikini linaloendeshwa na lijanamke lidikteta katili,kalb hayawan!,hata hamna uchaguzi wa uhakika ,damn idiots!
  2. T

    Kenya's economy compared to Tanzania in 2025, Nairobi beats Dodoma

    Infact tunapokea from UN bodies like wfp for the sake of REFUGESS wa South sudan,Somalia,Congo,Burundi,Ethiopia na kadhalika.
  3. T

    Mimi ni Mtanzania, lakini kwa huu msimamo wa Bashe kwa Malawi huu sio uungwana wala ujirani mwema

    Nyie ondokeni mkajifungie ,sisi tutawapelekea wamalawi mizigo yao tena kwa kuzirusha angani...KQCargo!
  4. T

    Aliyetoa Tsh. Milioni 30 na Ng'ombe 30 kama mahari hana tofauti na wewe uliyetoa mahari ya Tsh. Milioni 1. Wote akili zenu zinafanana

    Utasemaje kwenye jamii kama za wahindi kule ambapo mahari utolea mume na familia yake lakini siyo mke?
  5. T

    Aliyetoa Tsh. Milioni 30 na Ng'ombe 30 kama mahari hana tofauti na wewe uliyetoa mahari ya Tsh. Milioni 1. Wote akili zenu zinafanana

    Wala wanawake wengi hawabadili majina yao tena kama ilivyokua hapo awali.Je wajua kua kabila la wakikuyu hapa Kenya watoto hupewa majina ya wakwe?,kwa mfano mtoto mwanamme hupewa jina la mamake mke,tafakari hayo.
  6. T

    Aliyetoa Tsh. Milioni 30 na Ng'ombe 30 kama mahari hana tofauti na wewe uliyetoa mahari ya Tsh. Milioni 1. Wote akili zenu zinafanana

    Huku Kenya bunge letu lilipitisha mswada wa kutokuhalalisha hiki kitendo cha mahari, wakaongezea kuwa si shuruti kutoa mahari bali kila mtu akatoe kwa hiyari yake ila ukija ukatokwa na mke au kutapeliwa husije kuisumbua serikali ukidai mahari uliyotoa.
  7. T

    Aliyetoa Tsh. Milioni 30 na Ng'ombe 30 kama mahari hana tofauti na wewe uliyetoa mahari ya Tsh. Milioni 1. Wote akili zenu zinafanana

    Na huyo binti kumbuka pia anahudumiwa mahitaji yake ya kimwili na huyo mume anayetozwa ada pamoja na kuyarutubisha mayai yake huyo binti (kumzalisha) na kuendeleza ukoo wa wakwe(yaani wazazi wake binti wanapokea zawadi ya wajukuu pia),tusipangiane aisee,hizi desturi ni upumbavu wa wanaume,wizi...
  8. T

    Aliyetoa Tsh. Milioni 30 na Ng'ombe 30 kama mahari hana tofauti na wewe uliyetoa mahari ya Tsh. Milioni 1. Wote akili zenu zinafanana

    Basi hizo goodwill/zawadi zilipaswa kutolewa kwa pande zote maana wote ni wanadamu walio na thamani waliopata malezi ya thamani.
  9. T

    Tanganyika haijawahi tawaliwa na mwingereza hivyo kusema ilipata uhuru toka kwa mwingereza ni uongo

    Ukweli ndio huo mnaambiwa huku mmekaza shingo,elimu na mtanganyika ni kama mbingu na ardhi.
  10. T

    Benjamini Netanyahu awatakia wakristo wote Krismasi njema

    pia nyie mkaitumie kimkakati, nani kawakataza?
  11. T

    Magaidi wamtia kiberiti kasisi wa kanisa la katoliki kule Nigeria

    Na wala hamna lolote,likitangazwa leo ,mbona tunawafuta wote ulimwenguni nyie mashetani wa pepo muhamed? Uislamu unaweza ukaharamishwa duniani mkaishi kwa mashaka na hayo makusanyiko yenu haramu mnazoziita mataifa yakavurugwa na kufutwa. Uwezo upi mnao? Msiliwashe abadan, mnaweza kuja kujutia.
  12. T

    Twitter: Kenya Vs Tz (Battle)

    Please Jaslaws naomba unilishe kwa mwaka mmoja tu tafadhali!..
  13. T

    Hatariiiii.... mibabe kuzuiwa kuwania uongozi Kenya kwa ajili ya maadili

    Waanze na wakuu wenyewe Kenyatta pamoja na Rutto ambao washa shtakiws kabisa kwenye mahakama kuu ya dunia. Nchi zingine kama Marekani ukiwa na rekodi kama hiyo hautowania ofisi yeyote kuu abadan , hata kuajiriwa tu ni balaa. Wakenya na unafik mmh!..bas!
Back
Top Bottom