Mimi ombi langu uchaguzi wa madiwani usitishwe 2025 mpaka 2030 tutakapo tumetengeneza vizuri majukumu ya madiwank na aina gani ya mtu mwenye sifa ya kugombea udiwani siyo hii holela inayo endelea kuharibu miji yetu na vurugu uko vijijini! Tusiharibu pesa za wa Tanzania kwa chaguzi zisizo na...
Nasikitika kwamba moja ya miji yenye ujenzi holela kabisa Tanzania ni Mwanza. Kila nikipita nikipita Mwanza na jiuliza kama kuna viongozi, maafisa mipango mji na maafisa ardhi! Imekuaje vilima vizuri vya Mwanza wananchi wameachiwa kujenga nyumba za mabanda??
Jiji Mwanza kazi yenu ni nini...
Nimepita Geita siku 4 zilizopita niwatqke viongozi kupambana ujenzi ktk milima iliyo izunguka Geita unakomeshwa na nyie msiharibu mji wenu kama Mwanza ilivyo haribiwa kwa ujenzi holela kana kwamba hakuna maafisa mipango mji,ardhi na viongozi!
Pili muangalie uwezekano wa kuondoa msongamano ktk...
Maoni yangu kuwepo semina za mara kwa mara na sheria hizi ziandikwe na kutumwa ktk nyumba za ibada,ofisi za mtaa na ktk mitandao ya kijamii pande zote wananchi na wavunja sheria ktk nyumba za ibada waweze tambua makosa yao.
Arusha ni moja ya eneo lenye makelele mengi usiku ya nyumba za ibada...
Tumeambiwa na Wabunge wawili Bungeni kwamba bwawa la Mtera halina maji kabisa na huku pembeni maji ni mengi mpaka kuvuka kingo! Hii ni hujuma kwa Rais na inatekelezwa na baadhi walio mzunguka! Ni matumaini yangu siku chache zijazo tutasikia kishindo cha hatua za kinidhamu zikichukuliwa dhidi ya...
Madhara mengi ni kutokana na mipango miji mibovu, na sioni suluhu kwasababu wahusika walio shindwa wwnajiandaa kwa uchaguzi mkuu hawataki wahudhi wote walio jenga ktk njia za maji na mabonde.
Matatizo yetu tunayo shuhudia ni ukosefu wa Katiba Bora yenye Taasisi Imara na Bora na ukiongezea Tume Huru na Haki ya Uchaguzi. Wanunge hao uchwara huwezi sikia wanajadili jambo la msingi kama hilo na wengine wanao pendekeza adhabu ya kifo wakiwa wezi wa mali za umma na wezi wa kura! Vikelele...
Mimi nilishangaa au siku hizi hawafanyi vikao? Ni kichekesho kinacho sikitisha.... ndiyo hivyo Mama alitegemea Makonda mzima? Acha kuchezea damu ya watu,jamaa ndiyo kaisha Chisinau hivyo.
CCM ilichagua mtu wa kuja kuwatia aibu naye leo ametuonyesha namna gani tunatakiwa kuachana na chama kilicho choka kama CCM... moja ya ujinga wa msemaji ni kuingia ktk mkutano na boda bila helmet!!! Ni aibu kwa taifa kwamba huyo ni muhenezi wa chama tawala!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.