Recent content by TILA

  1. T

    Nani atatosha kuwa Waziri wetu wa Fedha baada ya kifo cha Dk. Mgimwa?

    Mzee Mustapha Mkulo.. huyu mzee anafaa ni mchapa kazi jamani tuache fitina..
  2. T

    Rais Kikwete avitaka Vyombo vya Habari kuwa makini katika uandishi wa habari juu ya EAC

    Tanzania pamoja na upole wetu ndo nchi pekee kwa Africa mashariki yenye diplomasia inayoaminika..Kwenye case ya ICC, ni Kenya wanatambua kabisa kuwa ni Tanzania pekee kwa ukanda huu wanaweza kuwapa mikakati na kuwasaidia.. wengine watapiga kelele sana lakini hawaaminiki kimataifa.. JK...
  3. T

    Central Deposit System (CDS)

    Kwa wale wataalamu wa mambo ya Fnance, kama kuna mtu anajua namna CDS invyooperate na umhimu wake kwa nchi za Africa.
  4. T

    Mchakato wa Katiba Mpya: Kinachowatesa CCM ni hiki hapa; u- Conservative

    nakubaliana na wewe kuwa kuna baadhi ya maoni ambayo CCM,CDM, CUF, NCCR TLP AND TAASISI NYINGINE wametoa kwa nia njema kabisa ya kujenga tena msingi wa nchi yetu, lakini mengine ni kulinda maslahi yao..message yangu ni kwenye hicho kipengele cha Serikali tatu kwanza.. hapo ndipo pame raise...
  5. T

    Mchakato wa Katiba Mpya: Kinachowatesa CCM ni hiki hapa; u- Conservative

    Tatizo hapa siyo Chadema V/S CCM.. Ni mstakabali wa Tanzania ya kesho na vizazi vijavyo..Siyo kila kitu kinachopendekezwa na Chama cha siasa au Taasisi yeyote kitapita, la Hasha.. "Funika Kombe mwanaharamu apite"ndicho tunachotaka kukifanya.. Tume walitumia Buisara ya hali ya Juu sana, ili...
  6. T

    Mchakato wa Katiba Mpya: Kinachowatesa CCM ni hiki hapa; u- Conservative

    Pamoja na nia Nzuri ya Raisi kukubali kuanzishwa kwa mchakato wa Katiba Mpya bado kuna wingu zito la upatikanaji wa katiba hiyo kabla ya mwaka 2015. Swala linaloonekana kuwasumbua sana CCM ni Kuwa Serikali Tatu; Kwa maoni yangu kinacho watesa CCcM ni kama ifuatavyo: 1. CCM wanaogopa Mabadiliko...
  7. T

    Mbowe atolewa nje ya bunge

    Kwahiyo akipelekwa Milembe ndo suluhu?
  8. T

    Mbowe atolewa nje ya bunge

    Nimekuwa nikifuatilia kwa Muda mrefu matukio ya Wabunge kutolewa nje ya Ukumbi wa Bunge kwa kile kinachodaiwa kuwa ni utovu wa nidhamu na kukiuka Kanini.. Je, kwanini Matukio haya mara nyingi yanatokea wakati Naibu speaker akiwa anaongoza Bunge?
  9. T

    CHADEMA wamfunga mdomo LUDOVICK

    Mtafute Tundu Lisu akupe dondoo.. la sivyo unaaibisha profession.
  10. T

    Shukrani kwa ukaribisho - Anna Tibaijuka

    Mama Prof Anna Tibaijuka, Watanzania wengi bado tunaimani kubwa nawewe, tunaini kuwa una mchango mkubwa katika hii safari ya Mabadiliko ya nchi yetu. Tunategemea kujifunza mengi kutoka kwako. Karibu sana mama yetu Prof.
  11. T

    Shukrani kwa ukaribisho - Anna Tibaijuka

    Karibu MAMA
  12. T

    Mkutano wa CHADEMA uzinduzi wa Kanda ya Kati wahamishwa kiwanja!

    The more the challenges, the near the Victory. Go, Go Chadema.
Back
Top Bottom