Recent content by Tikru

  1. T

    Natafuta mbwa aina ya German shepherd

    Uncle naomba uwe serious na price! Jko wapi I mean anapatikana wapi? Hizo million the? Are you serious!!!
  2. T

    Mil 4 nizitumie kusafiri kwenda Nigeria kwa TB Joshua ili nirudiane na mke wangu Au niitumie kufungua kijiwe?

    Nakushauri sana 100% kama kweli wewe ni Mkristo na kama unampenda mke wako. Nenda haraka sana ukaombe na mtumishi huyo wa Mungu. Nakuhakikishia 100% mtarudiana na huyo mama. Nauli na kila kitu kwa TB Joshua ni $1700 tu. Acha kusikiliza ushauri wa kishetani wa kwenda bar....utarudi kuumizwa...
  3. T

    Askofu Pengo: Sikufahamu kuhusu waraka wa Kwaresma wa Baraza la Maaskofu Katoliki. Awaasa wasichanganye dini na siasa

    Wewe nani alikuruhusu kuwahukumu Ma askofu wewe yakupasa kukaa kimya na kupiga magoti kumwomba Mungu tu you ya haya yote. Ni Mungu peke yake atayamaliza mambo haya sio wewe mtu mdogo kuyaingilia. Piga magoti mwombe Mungu atuvushe na hayo yote.
  4. T

    Kujamba sana kunasababishwa na nini ?

    Nenda kwa Dr kuna dawa aina nyingi za kukusaidia. Pole sana
  5. T

    Mabinti wa kilokole wengi ni waigizaji tu

    Wewe shika lako. Umeokoka au laa maisha ya wadada hai yanakuhusu nini? Nani alikupa chetu cha kuhukumu watu? Wee ngoja2hukumu yako. Yesu anarudi kuhuihukumu DUNIA YOTE WATU WOTE..WAFALME N.A. WEWE POA. JIHOJI SASA
  6. T

    VIDEO: Baada ya Kuokoka Tattoo zamtesa Munalove, huku Patrick kushikilia bango zifutwe

    Dada mpendwa. Nimrkusikiliza vizuri nimepata shauku vile Bwana Yesu alivyokupenda akakuokoa....wewe na mwanzo Patrick. Mungu asifiwe sana. [emoji108]Kwanza kabisa mahukuru sana Mungu kukuokoa. Ikiwa unafahamu VEMA maana ya KUOKOKA... Hapo ndipo sehemu Yako yakuanzia!!! Baada ya mtu KUOKOKA tu...
  7. T

    List ya vijana 50 wenye ushawishi yatolewa: Wapo Samatta, Kibatala, Millard Ayo, Ali Kiba, Msando

    Ushawishi nini? Tupe dondoo zao kidogo? E.g. no17 na 10?
  8. T

    kwa wakazi wa Mwanza sehemu gani nzuri kwa kujiburudisha?

    Yaani mahali best kabisa ni pale Kirumba TAG Mkesha wa Roho MTAKATIFU!! Ukifika Mkesha utafika musoma kwa amani sana
  9. T

    Uzi maalum kwa ajili ya wanaotafuta na wanaopangisha nyumba

    Ninapangisha nyumba (Farm House). Vyumba vitatu viwili ni self. Living room na jiko. Geti la kujitegemea. Luku na Mita ya maji ya kujitegemea maji na umeme ni wakati wote. Location:- Mwanza;- Lumala East. Kiseke Rd ni karibu sana na Saba Saba. (Dalali Hahitajiki) Tel 0622 302006
  10. T

    Nyumba inauzwa Kigamboni kisota 3.5km kutoka Darajani.

    Kweli nyumba safi. Mkuu nipatie eneo la nyumba au kiwanja chako kina square miters ngapi? Je una hati miliki ya miaka 99 au 66? Otherwise nyumba nzuri...advice shusha kidogoo mkuu
  11. T

    kuhusu ngombe bei yake na mbuzi

    Niko mwanza
  12. T

    Mbwa wanauzwa

    Aksante. Mimi nataka mbwa seriously! Ila nipe majibu haya;-1. Umri wa mbwa, Jinsia yake, Kabila je ni German F asili au cross bread? Umewachoma chanjo na je una kadi ya chanjo? Mwisho uko mkoa gani? Mimi niko Mza. Aksante
  13. T

    Mbwa aina gsd anauzwa

    Tuambie hao papis wako mkoa gani na bei yao? Je ni German family? Kama uko serious sema?
  14. T

    Mbwa aina gsd anauzwa

    Mkuu hao papis wako wapi na bei gani? 5 Mkuu hao papi wa miezi 8 wako wapi na bei gani? Weka namba ya simu?
  15. T

    Mafuta ya nazi yanauzwa

    Nitajie duka au mtaa unakopatikana tafadhali nahitaji lita moja. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom