Jamani wanajamii hii habari ni nzito tusizungumzie kuilinda ndoa hayo mambo yamepitwa na wakati katika dunia hii ya magonjwa mengi, tuzungumzie uhai na usalama mwa alieibiwa. maaana kama mkewe akimletea kaugonjwa atakufa tu sasa je tulinde ndoa au tulinde uhai? Mimi binafsi ningechagua kulinda...
Watu wengine bwana mnaongea kama mnatumia pua, ivi wewe unamfahamu benno ndullu kweli au unaropoka unapoongea uwe na ushahidi usiropoke tuu. for your information benno ndullu ameingia bot wakati mambo ya EPA yameshatokea huwezi kumuhusisha na epa uko ni kumuonea tuu tuache majungu tunaposema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.