Tanzaniaist
Senior Member
- Nov 29, 2011
- 161
- 156
Upepo sio Mzuri Mh.Lowassa, inawezekana adui yako hujamsoma vizuri..,sasa ni muda wa kutumia silaha zote, hakuna mtu yeyote wa kumuamini sasa! tumia mbinu mbadala za kisiasa la sivyo adui zako watakumaliza na wanafiki watakuhujumu (wapambe)...! ITS TIME TO FIGHT..Sasa ni muda wa kuongelea ukweli kuhusu suala la Richmond, na ni muda watanzania wajue ukweli, Kwenye siasa hakuna URAFIKI wala USWAHIBA..! Unahujumiwa na Unamalizwa na wakishamalizia kukumaliza kisiasa wanahamia kwenye Biashara zako! Politics its a dirty game..Kama jana CCM kilitangaza kwa madaha kushindwa kwa uchaguzi Arumeru, Kwakweli Sasa ni muda wa Kufanya maamuzi magumu,
Tumia sana UZOEFU WAKO na sio PESA, kuwa karibu sana na wananchi wako wa MONDULI kwani ndio wamekuwa na wewe wakati wa shida na raha, Achana na Viongozi wa Dini wenye tamaa bali UKWELI ndio utakaokusafisha, THE TRUTH WILL SENT U FREE, AND IT WILL BE A VESSEL TO DESTROY YOUR ENEMIES
Tumia sana UZOEFU WAKO na sio PESA, kuwa karibu sana na wananchi wako wa MONDULI kwani ndio wamekuwa na wewe wakati wa shida na raha, Achana na Viongozi wa Dini wenye tamaa bali UKWELI ndio utakaokusafisha, THE TRUTH WILL SENT U FREE, AND IT WILL BE A VESSEL TO DESTROY YOUR ENEMIES