Lowassa its time to fight...!

Tanzaniaist

Senior Member
Nov 29, 2011
161
156
Upepo sio Mzuri Mh.Lowassa, inawezekana adui yako hujamsoma vizuri..,sasa ni muda wa kutumia silaha zote, hakuna mtu yeyote wa kumuamini sasa! tumia mbinu mbadala za kisiasa la sivyo adui zako watakumaliza na wanafiki watakuhujumu (wapambe)...! ITS TIME TO FIGHT..Sasa ni muda wa kuongelea ukweli kuhusu suala la Richmond, na ni muda watanzania wajue ukweli, Kwenye siasa hakuna URAFIKI wala USWAHIBA..! Unahujumiwa na Unamalizwa na wakishamalizia kukumaliza kisiasa wanahamia kwenye Biashara zako! Politics its a dirty game..Kama jana CCM kilitangaza kwa madaha kushindwa kwa uchaguzi Arumeru, Kwakweli Sasa ni muda wa Kufanya maamuzi magumu,
Tumia sana UZOEFU WAKO na sio PESA, kuwa karibu sana na wananchi wako wa MONDULI kwani ndio wamekuwa na wewe wakati wa shida na raha, Achana na Viongozi wa Dini wenye tamaa bali UKWELI ndio utakaokusafisha, THE TRUTH WILL SENT U FREE, AND IT WILL BE A VESSEL TO DESTROY YOUR ENEMIES
 
Alifanyie kaz hili

Lipi? Alishindwa kufight bungeni alipokuwa na nafasi nzuri ya kujitetea na kuweka ukweli bayana ataweza sasa, na hata akiweza nani atamsikiliza? huyu Lowasa,Mwakyembe, Sitta, Kilango na wengine wengi ni wanafiki wakubwa na tumeishamalizana nao.
 
Hakuna jipya ilishatoka hiyo EL kaonyesha kushindwa na hata Wameru wanajua,Waarusha wanajua, Wamasai wanajua na Watanzania kwa ujumla tunajua.
 
Upepo sio Mzuri Mh.Lowassa, inawezekana adui yako hujamsoma vizuri..,sasa ni muda wa kutumia silaha zote, hakuna mtu yeyote wa kumuamini sasa! tumia mbinu mbadala za kisiasa la sivyo adui zako watakumaliza na wanafiki watakuhujumu (wapambe)...! ITS TIME TO FIGHT..Sasa ni muda wa kuongelea ukweli kuhusu suala la Richmond, na ni muda watanzania wajue ukweli, Kwenye siasa hakuna URAFIKI wala USWAHIBA..! Unahujumiwa na Unamalizwa na wakishamalizia kukumaliza kisiasa wanahamia kwenye Biashara zako! Politics its a dirty game..Kama jana CCM kilitangaza kwa madaha kushindwa kwa uchaguzi Arumeru, Kwakweli Sasa ni muda wa Kufanya maamuzi magumu,
Tumia sana UZOEFU WAKO na sio PESA, kuwa karibu sana na wananchi wako wa MONDULI kwani ndio wamekuwa na wewe wakati wa shida na raha, Achana na Viongozi wa Dini wenye tamaa bali UKWELI ndio utakaokusafisha, THE TRUTH WILL SENT U FREE, AND IT WILL BE A VESSEL TO DESTROY YOUR ENEMIES[/QUOT

ukiishi kwa upanga, utakufa kwa upanga pia. alizonazo si akili ni matope. ukimpa mtu 3bn afungue biashara anakuwa tajiri zaidi ya huo ubunge. Pia matendo aliyowafanyia watu, anayowafanyia sasa na atakayowafanyia ndiyo jeneza lake. Huyu mtu ana roho mbaya sana duniani kuliko ya Lusifer. Wewe muone tu katika TV ni Mbaya kuliko unavyomuona, ana kinyongo ambacho akikuwekea atahakikisha unafutika duniani ndo aridhike. Hafai
 
Upepo sio Mzuri Mh.Lowassa, inawezekana adui yako hujamsoma vizuri..,sasa ni muda wa kutumia silaha zote, hakuna mtu yeyote wa kumuamini sasa! tumia mbinu mbadala za kisiasa la sivyo adui zako watakumaliza na wanafiki watakuhujumu (wapambe)...! ITS TIME TO FIGHT..Sasa ni muda wa kuongelea ukweli kuhusu suala la Richmond, na ni muda watanzania wajue ukweli, Kwenye siasa hakuna URAFIKI wala USWAHIBA..! Unahujumiwa na Unamalizwa na wakishamalizia kukumaliza kisiasa wanahamia kwenye Biashara zako! Politics its a dirty game..Kama jana CCM kilitangaza kwa madaha kushindwa kwa uchaguzi Arumeru, Kwakweli Sasa ni muda wa Kufanya maamuzi magumu,
Tumia sana UZOEFU WAKO na sio PESA, kuwa karibu sana na wananchi wako wa MONDULI kwani ndio wamekuwa na wewe wakati wa shida na raha, Achana na Viongozi wa Dini wenye tamaa bali UKWELI ndio utakaokusafisha, THE TRUTH WILL SENT U FREE, AND IT WILL BE A VESSEL TO DESTROY YOUR ENEMIES

Sijakuelewa mkuu!
Unasema CCM walitangaza kwa madaha kuwa wameshindwa,then Lowasa afite!
Kwa hyo wewe ulitaka watangaze huku wanalia??
Ulitegemea waibe kura?
POOR tanzaniaist!
 
Upepo sio Mzuri Mh.Lowassa, inawezekana adui yako hujamsoma vizuri..,sasa ni muda wa kutumia silaha zote, hakuna mtu yeyote wa kumuamini sasa! tumia mbinu mbadala za kisiasa la sivyo adui zako watakumaliza na wanafiki watakuhujumu (wapambe)...! ITS TIME TO FIGHT..Sasa ni muda wa kuongelea ukweli kuhusu suala la Richmond, na ni muda watanzania wajue ukweli, Kwenye siasa hakuna URAFIKI wala USWAHIBA..! Unahujumiwa na Unamalizwa na wakishamalizia kukumaliza kisiasa wanahamia kwenye Biashara zako! Politics its a dirty game..Kama jana CCM kilitangaza kwa madaha kushindwa kwa uchaguzi Arumeru, Kwakweli Sasa ni muda wa Kufanya maamuzi magumu,
Tumia sana UZOEFU WAKO na sio PESA, kuwa karibu sana na wananchi wako wa MONDULI kwani ndio wamekuwa na wewe wakati wa shida na raha, Achana na Viongozi wa Dini wenye tamaa bali UKWELI ndio utakaokusafisha, THE TRUTH WILL SENT U FREE, AND IT WILL BE A VESSEL TO DESTROY YOUR ENEMIES[/QUOT

ukiishi kwa upanga, utakufa kwa upanga pia. alizonazo si akili ni matope. ukimpa mtu 3bn afungue biashara anakuwa tajiri zaidi ya huo ubunge. Pia matendo aliyowafanyia watu, anayowafanyia sasa na atakayowafanyia ndiyo jeneza lake. Huyu mtu ana roho mbaya sana duniani kuliko ya Lusifer. Wewe muone tu katika TV ni Mbaya kuliko unavyomuona, ana kinyongo ambacho akikuwekea atahakikisha unafutika duniani ndo aridhike. Hafai


Kama hivyo ndivyo alivyo basi ngoma yao hiyo watacheza vizuri na rafikiye ambaye hawakukutana barabarani mkweree!! Kama hajatambua mpaka sasa kuwa huyu mkweree anamuua taratibu atakuwa ni mgonjwa wa akili!
 
Tumia sana UZOEFU WAKO na sio PESA, kuwa karibu sana na wananchi wako wa MONDULI kwani ndio wamekuwa na wewe wakati wa shida na raha, Achana na Viongozi wa Dini wenye tamaa bali UKWELI ndio utakaokusafisha, THE TRUTH WILL SENT U FREE, AND IT WILL BE A VESSEL TO DESTROY YOUR ENEMIES
Naamini ulimaanisha WILL SET YOU FREE
 
Gharama ya kuwa au kusema uongo ni kubwa mno, kuilipa kunahitaji busara sio pesa, je swali la msingi busara hiyo EL anayo? CCM kwa ujumla wake imedanganya sana, je busara za kulipa CCM wanazo? Kwa kifupi gharama hiyo ni kubwa zaidi ya kujikana mwenyewe; ndo maana kwa sasa kila kiongozi wa CCM anaonekana hafai, Mmedanganya mno na gharama ni kubwa mno; Je EL atajipambanua kama mwenye busara zaidi kuliko chama? KUKAA KIMYA NI KOSA LA MILELE, amini usiamini.
 
Upepo sio Mzuri Mh.Lowassa, inawezekana adui yako hujamsoma vizuri..,sasa ni muda wa kutumia silaha zote, hakuna mtu yeyote wa kumuamini sasa! tumia mbinu mbadala za kisiasa la sivyo adui zako watakumaliza na wanafiki watakuhujumu (wapambe)...! ITS TIME TO FIGHT..Sasa ni muda wa kuongelea ukweli kuhusu suala la Richmond, na ni muda watanzania wajue ukweli, Kwenye siasa hakuna URAFIKI wala USWAHIBA..! Unahujumiwa na Unamalizwa na wakishamalizia kukumaliza kisiasa wanahamia kwenye Biashara zako! Politics its a dirty game..Kama jana CCM kilitangaza kwa madaha kushindwa kwa uchaguzi Arumeru, Kwakweli Sasa ni muda wa Kufanya maamuzi magumu,
Tumia sana UZOEFU WAKO na sio PESA, kuwa karibu sana na wananchi wako wa MONDULI kwani ndio wamekuwa na wewe wakati wa shida na raha, Achana na Viongozi wa Dini wenye tamaa bali UKWELI ndio utakaokusafisha, THE TRUTH WILL SENT U FREE, AND IT WILL BE A VESSEL TO DESTROY YOUR ENEMIES

Too late!
 
Wakuu inaelekea mimi nina allergy na EL, akiongelewa tu napata kichefuchefu kikifuatia kutapika, kutoa ushuzi na kuharisha.
 
Mwacheni saaizi anaumwa kisukari. Baadaye tutaambiwa tumsaidie kumpa urais ili akajiuguze si mlisikia sioi akiombewa kura na sokwe mtu ili eti afutwe machozi kwa kufiwa na baba yake?. Watz tumefikishwa hapa.
 
Lowasa and kundi dogo sana ambalo nguvu yake kubwa(RA) ilishajivua gamba waliobaki nyuma yake ni walafi wanatafuna hela zake alizotuibia na wengine tunao humu JF, wenzake wana kundi kubwa japo hawana nguvu ya pesa lakini wanaweza kuwa strong na kummaliza kisiasa kwa urahisi sana. kikubwa anachotakiwa sasa hivi kufanya ni kutubu na kuomba msamaha kwa watanzania kwa kuwaibia mali zao na kuleta kampuni ya kitapeli ya Richmond/Dowans na kufanya tatizo la umeme kuwa kubwa zaidi na mgao usiokwisha
 
upepo sio mzuri mh.lowassa, inawezekana adui yako hujamsoma vizuri..,sasa ni muda wa kutumia silaha zote, hakuna mtu yeyote wa kumuamini sasa! Tumia mbinu mbadala za kisiasa la sivyo adui zako watakumaliza na wanafiki watakuhujumu (wapambe)...! Its time to fight..sasa ni muda wa kuongelea ukweli kuhusu suala la richmond, na ni muda watanzania wajue ukweli, kwenye siasa hakuna urafiki wala uswahiba..! Unahujumiwa na unamalizwa na wakishamalizia kukumaliza kisiasa wanahamia kwenye biashara zako! Politics its a dirty game..kama jana ccm kilitangaza kwa madaha kushindwa kwa uchaguzi arumeru, kwakweli sasa ni muda wa kufanya maamuzi magumu,
tumia sana uzoefu wako na sio pesa, kuwa karibu sana na wananchi wako wa monduli kwani ndio wamekuwa na wewe wakati wa shida na raha, achana na viongozi wa dini wenye tamaa bali ukweli ndio utakaokusafisha, the truth will sent u free, and it will be a vessel to destroy your enemies

mwaka huu tutajua mengi mwanawake .......mpolaaa sanaa
 
Back
Top Bottom