Habari za Jioni
Naomba kama kuna mtu anajua muombeaji/waombeaji wenye karama ya kutoa mapepo maeneo ya Mafinga. Ndugu yangu anpetwa kichaa mwaka wa kumi sasa na hospital imeshindikana. Mimi nipo Mufindi Iringa.
Habari za jioni wadau,
Naomba nijue kama baraza la mtihani bado linautaratibu wa muyoa result slip?
Inahitajika kesho na mwanafunzi kamaliza mkoani ambako shule zimefunga, mpaka zikifungua nitakuwa nimechelewa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.