Muuza dafu alijipeleka mnyewe wanauwezo wa kunusa wateja wao walipo hasa wakiwa ni watu mashuhuri! Yule aliyempokea Mh Mkt bilauri ya dafu baada ya kulinywa anaweza kufananishwa na mwandishi gani hapa nchini?
Veta au uhazili akasomea type write baadaye anaweza akajiendeleza akawa mtu wa maana katika jamii. Ila umkumbushe akitoboa asisahau njia alizopitia maana huwa wasahaulifu sana.
Nimeandika hapo st Marks Sekondari School jirani yangu ni mlinzi hapo na alinielezea vyombo vya dola vililishughulikia hilo suala lilipo jitokeza maana alikuwa zamu getini.
Hiyo ST Marks NECTA wanajiridhisha nini? Wakati mambo yote yalikuwa wazi na waliodanganya walikamatwa na kuhojiwa na wakasema ukweli wasomo na mwalimu aliye husika kudanganya.. Wasilete mambo uonevu wa samaki mmoja akioza wote wameoza.
Pope huyu atakuwa mfuasi wa joka na alipoona joka bwana wake katajwa katika kumdaganya Hawa hapo Mwanzo wa Biblia ndio anataka kumtetea kiana.
Mfikishieni ujumbe kuwa sisi tunaongozwa na Roho Mtakatifu katika masuala yote ya kiroho ndiye Yesu alituachia atusaidie na kutuongoza, na kutufariji...
Uturuki ni ulaya, Israel ni ulaya fafanua tukuelewe ulaya ya mataifa 7 ni ipi hiyo? Kanisa linaposimikwa kwenye misingi ya uongo hata wafuasi wake kusema ungo ni jambo la kawaida.
Huyu si ndiye yule mama aliye tabiri tarehe ya mwisho wa dunia wakati Yesu alisema hata yeye haijui ila Baba. Kanisa likaanzishwa katika misingi ya uongo wa nsma huyu.
Ukristo ni ufuaswi wa Kristo. Kristo ukisoma Yohana anaitwa Neno. Neno alikuwa kwa Mungu na vyote vilifanyika kwa huyo. Naye Neno alikuwa ni Mungu. Nikuulize wewe na wakijiweni ulio wawakilisha Mungu alianza lini? Pili wafuasi wa Mungu au wanao mwamini Mungu walianza lini? Ukijibu hili la pili...
Shibuda naye anazurura huko nje akitafuta watakao muunga mkono kugombea urais 2020? Basi wamuangalie asije akauza siri za kujuakizenji ili kutunisha mfuko wa kununulia kura na wapiga kura. Na ndipo hatari kwa usalama wa Taifa ilipo. Kuuzwa siri za nchi ilikutunisha mfuko.
Shibuda alifikia wadhifa alioufikia yeye. Shibuda anajua mambo ya chumbani mwa Taifa kama yeye anavyojua. Ajiulize kwa sasa anavyo endesha maisha yake yeye ni liability ima thamani kwa taifa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.