Recent content by Tieciana

  1. T

    Kikwete unamuogopa Mwakyembe

    Inaniuma sanaa Mwakyembe kubadilishwa sasa usafiri wa Treni ndio mwisho wake na mabasi ni ghali sijui nitaweza
  2. T

    Si kila mwanamke anafaa kuolewa

    Sio wote jamani kwani ni kabila gain?
  3. T

    Mwanamke, pita hapa nikuume sikio

    Yaani ni kweli hawana shidaaaaaaaaaaa
  4. T

    Je, mwanaume kula ubuyu mwekundu ni kujidhalilisha?

    Hizo rangi wanazochanganya si salama hata kidogo chukua tahadhali
  5. T

    Madaktari, Hivi hamjui kuandika vizuri au mnafanya makusudi?

    Jamani ukiwa daktari hata kama una mwandiko mzuri utabadilika tu kwani unatakiwa kuwaona wagonjwa 50 na kila mgonjwa kuna mambo kibao ya kuandika ni lazima utaandika haraka haraka mwandiko utabadilika tu ONYO HAWAFUNDISHI KUANDIKA VIBAYA
  6. T

    Ufisadi: Walimu wakuu shule za kata wengi sio wakweli

    Yaani michango inaboa dawati kwa Morogoro 60000 kuna harufu ya ufisadi
  7. T

    Dr. Bilal katika majadiliano ya Vijana Malengo ya Milenia baada ya 2015

    Ni kitu kizuri lakini je watachukuliwa walengwa? si kweli watajaa tu watoto wa vigogo na ndugu zao
Back
Top Bottom