Jamani ukiwa daktari hata kama una mwandiko mzuri utabadilika tu kwani unatakiwa kuwaona wagonjwa 50 na kila mgonjwa kuna mambo kibao ya kuandika ni lazima utaandika haraka haraka mwandiko utabadilika tu ONYO HAWAFUNDISHI KUANDIKA VIBAYA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.