Joyce Mhaville wa ITV: Ni nani? CV yake mnayo?

Joyce Mhaville wa ITV: Ni nani? CV yake mnayo?

mjombajona

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2010
Posts
262
Reaction score
50
Nimefurahishwa sana na kitendo cha ITV ikishirikiana na UDSM kukubaliana kurusha midahalo ya wagombea urais 2015 live mara ifikapo kipindi cha uchaguzi mkuu mwaka huu.

Bibie Joyce amekuwa mstari wa mbele kuifanya ITV kuwa kituo bora cha matangazo TZ na hata nje ya mipaka yetu - kweli ITV nyinyi ni Super Brand. Napendekeza huyu mama akumbukwe kwenye tuzo au nishani yoyote ya mwanamke jasiri zinazotolewaga.

Hata hivyo mwenye CV yake amwage tuone background yake kimasomo na kikazi! Nawasilisha!
 
Sina CV yake lakini ninafahamu shule yake imetulia.
 
Mafala ccm huwa hawashiriki,wana ubavu huo?
 
Alisoma mpaka Kidato cha Nne, akafanya kozi ya uhazili (secretarial), kisha baba yake John Mhaville akamfanyia mipango ya kwenda kusoma Urusi ambako aliibuka na shahada ya Uzamili (masters) ya uandishi wa habari, hususan wa TV.
 
ameolewa? ana watoto wangapi ? wengi wanapita hapo itv yeye yupo anatumia kiziz gani!
 
CV za watu za nini tengenezeni za kwenu
 
Alisoma mpaka Kidato cha Nne, akafanya kozi ya uhazili (secretarial), kisha baba yake John Mhaville akamfanyia mipango ya kwenda kusoma Urusi ambako aliibuka na shahada ya Uzamili (masters) ya uandishi wa habari, hususan wa TV.

dah watanzania bana... Aya bana tumekusikia tumekufikia!!
 
Nimefurahishwa sana na kitendo cha ITV ikishirikiana na UDSM kukubaliana kurusha midahalo ya wagombea urais 2015 live mara ifikapo kipindi cha uchaguzi mkuu mwaka huu.

Bibie Joyce amekuwa mstari wa mbele kuifanya ITV kuwa kituo bora cha matangazo TZ na hata nje ya mipaka yetu - kweli ITV nyinyi ni Super Brand. Napendekeza huyu mama akumbukwe kwenye tuzo au nishani yoyote ya mwanamke jasiri zinazotolewaga.

Hata hivyo mwenye CV yake amwage tuone background yake kimasomo na kikazi! Nawasilisha!
Ni hawara wa mengi cv yake muulize kylne au yerko nyerere ukiwakosa muulize sendeka...lembeli...mwakyembe au ana kilango na nyalandu
 
Mi naHis MzeE MaCHACHE asHapiga Japo kimoja tuu. Ndo mAana yupo Bado MpaKa leo hIi.

......hongera kwa 'kuhisi', mawazo mengine mbona kazi!, yaani ni kwamba hatuwezi fanikiwa bila mwanaume?!, wanawake tuna shida sisi!, Eti we can't survive and make it on our own unless we spread our legs?!,.......kazi ipo!
 
Nimefurahishwa sana na kitendo cha ITV ikishirikiana na UDSM kukubaliana kurusha midahalo ya wagombea urais 2015 live mara ifikapo kipindi cha uchaguzi mkuu mwaka huu.

Bibie Joyce amekuwa mstari wa mbele kuifanya ITV kuwa kituo bora cha matangazo TZ na hata nje ya mipaka yetu - kweli ITV nyinyi ni Super Brand. Napendekeza huyu mama akumbukwe kwenye tuzo au nishani yoyote ya mwanamke jasiri zinazotolewaga.

Hata hivyo mwenye CV yake amwage tuone background yake kimasomo na kikazi! Nawasilisha!

Sasa anaujasiri gani? Ndo kazi yake inayompatia mshahara.mi sifa mingine ni kujipendekeza
 
Back
Top Bottom