Recent content by TICHA RICHARD

  1. T

    Lowassa,Tutalivuka daraja

    Daraja tumeisha vuk tayri mh Lowasaa usiwe na wasiwasi
  2. T

    Mwigulu Nchemba unatupeleka wapi? Exchange rate ya dola leo ni tsh.1,685/=

    Sina uhakika kama Mwigulu anahusika na kupanda kwa dola dhidi ya pesa yenu ya kitanzania.Mwigulu wakati naingia madarakani kama naibu waziri wa fedha twambie dola ilikuwa ni sh:ngapi dhidi yaTz shs?Watanzania hatuzalishi lolote zaidi ya machungwa ya muheza unadhani dola haitapanda?Kila siku...
  3. T

    Mchungaji Rwakatare acharuka Bungeni!

    Siku zote alikuwa wapi?mzushi huyo
  4. T

    Pigo la Pili kwa Lowassa, bado la Tatu na la Mwisho!

    Nilishasema Yerico una akili za kitoto.unawaZa nyonyo kola Mara.lowassa akutafute ili imsaidie nini?:
  5. T

    Wana CCM acheni unyonge - Kikwete

    YERICKO NDIE MCHOCHEZI.HII TAARIFA KAILETA YERICKI NA SI KUBENEA.HIVYO WA KULAUMU KWA UCHOCHEZ NI YERICKO NA KIMBELEMBELE KAMA MAFUA YA ASUBUHI.KWANZA YERICKO Mzushi sana kuliko pepo mchafu.we tangu lini na wapi dunian rais aliagiza raia wake hususan wanachama wake wapigane na wapinzani;?rais...
  6. T

    Lowassa kufutiwa uanachama wa CCM?

    (afutiwe uanachama kwa kosa gani la pekee alilofanya kaka lowassa?kati ya wote walioitwa yeye ndie mkosefu kuliko wote?au ni kwa vile jina lake limewakaa akilini nanake bila lowassa kumtabilia mabaya hamli na kushiba!!mshindwe na mlegee kwa jina la yesu alie hai!!.mapepo ya makonda na nape na...
  7. T

    Wabunge wa majimbo yote Kagera kurudi mjengoni NO

    ni kweli mbunge huyo ana utajiri mkubwa sana.anamiliki kiwanda cha kukoboa kahawa,anajenga chuo cha ualimu,ana hisa nying ktk shule ya tu...me,hivyo hawez kutetea bei za kahawa kwa wanajimbo lake kwa vile ana maslahi.ni mzee mno lakin hataki kuachia jimbo.hataki kusikia kijan anataka...
  8. T

    Kikwete kilimo kwanza, Lowassa elimu kwanza!

    Lowasa anayo "legacy"lakini huyu mzee wa kulia hana lolote atakaloacha
  9. T

    Mkakati wa Mwigulu kuua CHADEMA Iramba

    Jamani Mwigulu ni mtu safi sik hizi.kwanza yuko bize kutafuta pesa za kuendesha serikali.sasa hiyo mipango afanye muda gani?Kaka mwigulu achana nao
  10. T

    Lowassa, Sumaye na Ngeleja wahojiwa na Kamati ya Maadili, Membe adaiwa kukacha

    Hata Nyerere alikuwa havai sare.Uccm ni moyoni na sio uniform!!
  11. T

    Kauli za kisiasa zisizotimilika zaikumba wizara ya elimu

    Mwl.Nyerere ktk hotuba yake miaka ya 70 akizindua chuo cha ualimu chang'ombe alisema kazi ya mwalimu ni kuleta mapinduzi ktk jamii.sio ya kijeshi,ni ya kifikra.sasa walimu wa tz wameshindwa hilo jambo.wameshindwa kuleta mapinduzi ya akili na badala yake wamesaidia kuua akili za watz.walimu...
  12. T

    Lowassa, hawa vijana watakuua kabla ya 2015

    Eti sitaki nikuite mheshimiwa!!!kwani usipomuita unampunguzia nini?hata usipomuimbia bwana miti na majani vitaimba,upepo ukivuma vyainama vyainuka.imeandikwa ktk maandiko.hivyo nawe Yericko usipomuita Lowassa mh.wengine watamuita.kwanza nahisi sauti yako mbaya kama ya chura mzee.hivo utaleta...
  13. T

    Lowassa, Sumaye na Ngeleja wahojiwa na Kamati ya Maadili, Membe adaiwa kukacha

    We kweli ni mburura!!eti wengine hatumtaki yeyote toka CCM?gombea ww basi ili tukutake.sijui ulikuwa unawaza nyonyo ndipo ukaona uandike maziwa yako hapa?LOwassa sio lazima apendwe na watu wa dizaini yako.afu ujue uko peke yako asiemtaka.
Back
Top Bottom