Taarifa za uhakika kutoka ndani ya chama cha mapinduzi wilayani Iramba,zinabainisha kuwa,kuna mkakati mkubwa sana unaoratibiwa na mbunge wa Iramba ndugu Mwigulu Nchemba,wa kuhakikisha CHADEMA inapotea kwenye ulingo wa kisiasa wilayani Iramba.
Mkakati huo ambao tayari umefichuliwa na mmoja wa kiongozi mwandamizi wa CCM Iramba,baada ya kukerwa na mbinu hiyo haramu isiyo na maslahi kwa wananchi,unawahusisha baadhi ya viongozi wa CHADEMA Iramba wenye njaa kali,na ambao wamekuwa wakipinga maamuzi ya cc ya kuwavua nyadhifa zao,dk. Kitila na ZZK.
Kazi ya kwanza ni kuhakikisha ofisi za CHADEMA za wilaya zilizoko katikati ya mji wa kiomboi zinafungwa.
Pili ni kuwatumia viongozi wenye mrengo wa TEAM USALITI,kuanzisha mgogoro wa kiungozi,mmoja wa viongozi hao ni mwenyekiti wa kata ya Ndago.
Mtonyaji wetu toka ndani ya CCM anasema mwenyekiti huyu wa ndago amekuwa akilinda chama kwa kuwafukuza Zitto na Kitila,na amekuwa kinara wa migogoro wilayani Iramba.Viongozi hao wanalipwa fedha na Mwigulu.
source: Uchunguzi binafsi.
Mkakati huo ambao tayari umefichuliwa na mmoja wa kiongozi mwandamizi wa CCM Iramba,baada ya kukerwa na mbinu hiyo haramu isiyo na maslahi kwa wananchi,unawahusisha baadhi ya viongozi wa CHADEMA Iramba wenye njaa kali,na ambao wamekuwa wakipinga maamuzi ya cc ya kuwavua nyadhifa zao,dk. Kitila na ZZK.
Kazi ya kwanza ni kuhakikisha ofisi za CHADEMA za wilaya zilizoko katikati ya mji wa kiomboi zinafungwa.
Pili ni kuwatumia viongozi wenye mrengo wa TEAM USALITI,kuanzisha mgogoro wa kiungozi,mmoja wa viongozi hao ni mwenyekiti wa kata ya Ndago.
Mtonyaji wetu toka ndani ya CCM anasema mwenyekiti huyu wa ndago amekuwa akilinda chama kwa kuwafukuza Zitto na Kitila,na amekuwa kinara wa migogoro wilayani Iramba.Viongozi hao wanalipwa fedha na Mwigulu.
source: Uchunguzi binafsi.