Recent content by tibmanzenjj

  1. tibmanzenjj

    SMARTWATCH ZINAPATIKANA HAPA KWA BEI NZURI.

    siku 4 unapata kutumia
  2. tibmanzenjj

    SMARTWATCH ZINAPATIKANA HAPA KWA BEI NZURI.

    vipi hali wana jukwaa ni imani yangu munaendelea vyema na harakatu zenu za kila siku. ninauza smartwatch kwa bei ya shilingi 55,000 tu ya kitanzania. kupitia smartwatch hizi utakua na uwezo wa kupiga simu na kupigiwa,kutuma meseji,kupiga picha,kurekodi sauti na video .takribani kila ambacho...
  3. tibmanzenjj

    PROCUREMENT TO ACCOUNTACY

    Vp hali zenu wana jukwaa . Nimemaliza diploma katika fani ya manunuzi , ila kwa upande wa degree nimeona niombe uhasibu . Kwani naona ni vyema kua na vyeti viwili vya fani tofauti ,kwani hapo baadae nitakuja kutumia vyote viwili . Je maamuzi haya ni sahihi na yenye tija?
  4. tibmanzenjj

    KUPATA MKOPO WA HELSB MWAKA WA PILI

    Vp hali wanajukwaa .nahitahi kujua kama ukiwa mwaka wa pili degree kuna uwezekano wa kupata mkopo wa HELSB . au uwezekano unakua mdogo coz wanaconsentrate na first year
  5. tibmanzenjj

    NACTE CAS net majanga

    Mimi jana nilifanya kama saa 8 usiku hivi na nikajaribu mpaka kwa simu inafunguka na kueza kuupdate
  6. tibmanzenjj

    MIKOPO KWA WENYE GPA YA 3.O

    Kama tunavoelewa ya kua tarehe 15/9/2016 TCU ilitangaza kushusha viwango vya kuingia chuo kikuu kwa wanafunzi waliomaliza diploma kutoka 3.5 mpaka 3.0 ,na kupewa fursa ya kuomba vyuo ambapo mwisho ni 23 september . Je bodi ya mikopo inaweza kuja kuwafungulia vijana hawa kuweza kuomba mikopo...
  7. tibmanzenjj

    Msaada, kuhusu JKT

    Vp hali wanajukwaa ? ningependa kujua hivi kuna uwezekano kwa mtu kurudi uraiani baada ya kumallza mkataba wake na jkt , ikiiwa mtu huyo ana elimu ya diploma Au degree ?
  8. tibmanzenjj

    Kwa wale wanaosoma daresalaam maritine institute na institute of procurement and supply

    vipi hali wana jukwaa , nilikuwa na hitaji na wanafunzi wanaosoma katika hivyo vyuo nilivyovitaja hapo juu ,ningependa wanijuze kuhusiana na kozi ya CLEARING AND FOWARDING ikiwa bado inasomeshwa hapo vyuoni kwao
  9. tibmanzenjj

    Naomba kujuulishwa kuhusu clearing and fowarding

    asante email yangu tibmanzenj@outlook.com je inalipa ?
  10. tibmanzenjj

    Naomba kujuulishwa kuhusu clearing and fowarding

    ndugu yangu kama wajua chochote ni vyema.ukanijuza
  11. tibmanzenjj

    Naomba kujuulishwa kuhusu clearing and fowarding

    naomba kujua wadau , kozi hii hasa hushughulika na kazi gani na eneo gani , kwani nataka niiaply ,ahsanteni
  12. tibmanzenjj

    Polisi wazuia mkutano wa UKAWA Zanzibar

    ni woga tu unaowasumbua
  13. tibmanzenjj

    Polisi wazuia mkutano wa UKAWA Zanzibar

    mkutano wa hadhara wa UKAWA uliokuwa ufanyike kesho hapa Zanzibar umepigwa stop na jeshi la polisi kwa madai kuwa ni sababu za kiusalama , hasa katika kipindi hichi cha skukuu
  14. tibmanzenjj

    Haya ndio matokeo yangu nishauri nishauri nichukue kozi gani chuo maana sitaki 6

    kwani mtu akiwa amepasi si anakuwa na uwezo wa kuanza diploma ?maana zanzibar inakuwa hvo
  15. tibmanzenjj

    Haya ndio matokeo yangu nishauri nishauri nichukue kozi gani chuo maana sitaki 6

    nashkuru familia yangu ina uwezo wa kunisomesha chuo chochote tz
Back
Top Bottom