Polisi wazuia mkutano wa UKAWA Zanzibar

Polisi wazuia mkutano wa UKAWA Zanzibar

Ahmed Omar_

Senior Member
Joined
Jul 17, 2012
Posts
128
Reaction score
195
TANGAZO!


Baada ya CCM kushtushwa na mapambano makali ya UKAWA yaliyohamia nje ya Bunge la Katiba, waamua kulitumia jeshi la Polisi kuzuia Mikutano ya hadhara ya UKAWA.

Mkutano wa kesho Jumamosi tarehe 19/04/2014 wafutwa rasmi. Sababu iliyotolewa na Kamishna wa jeshi la Polisi Zanzibar ni hofu ya uwezekano wa kutokea vitendo vya ugaidi siku ya kesho.
Wazalendo wote vuteni subra, nguvu ya umma haizuiliki!
HAKUNA KUSIMAMA MPAKA KIELEWEKE!
POLISI.jpg
 
Duh!! MaCCM kweli hii ni SHIIDAA Kinana anazurura maeneo mbalimbali nchini na kufanya Mikutano ya Hadhara sijasikia Mkutano wake hata mmoja umehairishwa na Polisi kwa tishio la UGAIDI, Kwa hiki wanachokifanya Polisi inamaanisha matukio ya Ugaidi utokea kwenye mikutano ya vyama vya upinzani tu? kama ni hivyo gaidi ni nani anaelenga kufanya ugaidi katika mikutano hiyo? JIBU SAHIHI GAIDI NI CCM(Mwigulu) kwani hakuna adui mkubwa wa vyama vya upinzani nchini zaidi ya CCM.
 
mkutano wa hadhara wa UKAWA uliokuwa ufanyike kesho hapa Zanzibar umepigwa stop na jeshi la polisi kwa madai kuwa ni sababu za kiusalama , hasa katika kipindi hichi cha skukuu
 
ukafanywe pemba ambako wanabaguliwa na serikali..
 
Polisi nao wabaguzi tu, waache watu waambiwe kweli
 
Hawa washenzi wameanza dhulma hii haikubaliki sikuku ndo imefanya nini mpaka mkutano usifanyike? Nasema ukawa hakuna kuludi nyuma mkutano utafanya na ratiba iwe palepale waache kuwabeba hao intarehamwe!

BACK TANGANYIKA
 
Barua kutoka Jeshi la Polisi kwenda kwa Katibu Mkuu CUF 18.04.2014

YAH: TAARIFA YA KUSITISHA MKUTANO WA HADHARI
Naomba urejee barua yangu ya kumbukumbuku namba ............ya tarehe 17 April 2014 inahusika.

Ninakujuulisha rasmi kua, Mkutanoh huo uliokuwa ufanyike kesho tarehe 19 April 2014 hapo Viwanha vya Demokrasia Kibanda Maiti umesitishwa kwa sababu za KIUSALAMA WA NCHI.
Kwa barua hii, unatakiwa kuwajuulisha Wanachama na wapenzi wote wa Chama kuwa watulivu kwa muda huu, hadi hapo hali itakaporuhusu kufanyika tena kwa mkutano huo.

Tafadhali nawasilisha

Ramadha ....SSP
Mkuu wa Polisi
Wilaya ya Magharibi Unguja
 
Hiyo sababu ya POLISI hatujawahi kuidhibitisha, maana wao ndiyo wanakuwaga wavunja amani. Mbona haya mabomu yanayolipuka Arusha hatujawahi kusikia makatazo ya mikusanyiko yake???
 
Intarahamwe wanatanda mpah penalt du!!!kazi ipo sasa
 
Vyombo vya DOLA vinashabikia chama tawala na kutii amri zao. 💄
 
Tahadhari hivi ndivo vita huwa inaanza kukandamiza haki

Sikukuu haina uhusiano na mkutano wa ukawa
 
Ukijifanya unajua hili wenzako wanajua lile! Tutaona mwisho wa ukawa.
 
Back
Top Bottom