Imekatwa kabisa Kwa wanyonge ikazibukia Kwa wateule wachache hadi wakisaza baada ya kuhonga michepuko na kwenda check up Kwa dola 12M huku wengi tukiimbishwa chorus ya uzalendo
Elimu,usafiri wa wanafunzi vitakuwa bora endapo tu Sheria ikatungwa watetezi wa wanyonge wote ni lzm wasomeshe watoto wao hizi shule za kata,na wasitumie mav 8 kupelekea watoto wao shule Hapo elimu itakuwa bora zaidi ni ngonjera tu
Kuna kisa kimoja kilivuma miaka ya nyuma. Siku ya jumamosi moja,Mfugaji mmoja baada ya kuuza mifugo yake akapata pesa nyingi nayo jioni ikaingia akapata Wazo nikienda lala nyumba ya wageni naweza vamiwa nikauwawa nazo pesa zikachuliwa,hivo Salama nitafute nyumba ya ibada ni Salama kulala...
Iddi amini akihojiwa na mwandishi wa BBC huku akijifanya kuona aibu amewahi tamka ktk maisha yake hawezi na wala ajawahi kuuwa hata sisimizi.Unaweza ukawa Kanisani kimwili huku roho iko nje kufikiria nimtoe nani kafala Leo ili niridhishe nafsi.
MTU muovu hawezi kuwa na Amani maisha ni na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.