Recent content by Tiba Mubito

  1. T

    JamiiForums Tanzania Simba vs Yanga, Nani Amekamata Usajili Dirisha Hili?

    Katika kikosi cha Yanga Maxi anacheza kama kiungo wa kati namba 8 winga anacheza Acua na Pacome
  2. T

    JamiiForums Tanzania Polepole - kwa mazingira haya tukatae uhuni Tanzania

    Kununua migodi sio tatizo, tatizo na pale unapo uziwa mgodi wa makaa ya Mawe kwa shs 5bil , ina maana kapewa bure , ila hiyo shs 5 bil inalipwa tu Ili kuonyesha Kwamba mgodi ikiuzwa!
  3. T

    JamiiForums Tanzania MO Dewji: Tangu mwaka 2018 nimewekeza Bilioni 87 Simba SC

    Mapato na matumizi anayajua bosi pekee!
  4. T

    JamiiForums Tanzania GE2025 Polisi: Tunamshikilia Leonard Josephat Magere wa CHADEMA kwa tuhuma za jinai zinazomkabili

    Polisi mnatakiwa kujua kwamba watanzania hawajafikia kiasi hicho cha Ujinga! Sio wajinga kiasi hicho! Haiwezekani kila Kiongozi wa Chadema ana jinai ya kujibu, na haiwezekani jinai yake inasubiri hadi siku anayo kuwa na safari ya nje ya nchi! Amani Gulugwa alizuiliwa kwa jinai ambayo hadi leo...
  5. T

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Abdul Nondo: Kwanini tusidhani 'waliosusa' Uchaguzi wanatumika na CCM

    ACT Wazalendo ambao wanajiona sio machawa wa ccm, wakati wa uchaguzi Mkuu 2020 Tanzania Bara walipata wabunge wangapi!? Jibu ni hakuna hata Mbunge MMOJA! Kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa, walipata Wenyeviti wangapi!? Idadi iliyo patikana inalingana na uhalisia wa kukubalika kwa ACT...
  6. T

    JamiiForums Tanzania GE2025 RC- Chacha Agomea Millioni 5 za mtia nia amchana Makavu

    Kama angekua kiongozi mzuri Huyo akiyetaka kutoa hela ya Rushwa angemfikisha mikononi mwa sheria, Kamanda wa TAKUKURU wa Mkoa na wilaya wako chini yake, Mbona hatujasikia wamemkamata yeyote! TAKUKURU anaitumia kama kichaka, hata Kwenye michezo alisema kwamba YANGA wanatumia Ujumbe kwa wchezaji...
  7. T

    JamiiForums Tanzania Full Time: Young Africans SC 2-0 Singida Black Stars | CRDB Federation Cup | Final | New Amaan Stadium | 29.06.2025 | Yanga Bingwa

    Bahati nzuri Yanga ya Dsm na Yanga ya mkoani zote zimekubemenda
  8. T

    JamiiForums Tanzania Mechi ya Yanga dhidi ya Simba, June 25 kuchezeshwa na Waamuzi kutoka Misri

    Mechi hii ndio ina mvuto zaidi kwakua atakayeshinda bingwa, wakitoka droo mmojawapo bingwa ,kwahiyo mvuto wa mechi hii ni mkubwa zaidi kuliko kama ingechezwa tarehe 08/03 au tarehe 15/05
  9. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kifo cha Albert Ojwang: IPOA yamuita Naibu Inspekta Jenerali, Eliud Lagat kutoa maelezo

    Hoi kesi ukimalizika, inatakiwa ichukuliwe kwamba precedent iletwe hapa Tanzania Ili watu na Jeshi letu lijifunze uwajibikaji! Maana watu wanakuwa kama mbuzi na watu wasiojulikana hakuna anayewajibishwa hapa!
  10. T

    JamiiForums Tanzania Alex Msama: Wanaomsema Rais Samia wanamsema Mungu, wanaoshutumu wanamshutumu Mungu

    Tapeli wa viwanja vya watu anatafuta huruma! Kila mtu katika nafasi yake owe ndogo au kubwa yuko hapo alipo kwa màpenzi ya mungu, kwahiyo tunatakiwa kuheshimika, tutende wema kwa wadogo na wakubwa, lakini ka awatu wanaotekwa ukiongea unakamatwa , nasi hakuna atakaye heshimu wakubwa kwakua...
  11. T

    JamiiForums Tanzania Askofu Ruwa’ichi: Kwa yanayoendelea Tanzania kwasasa hatupaswi kujiita Kisiwa cha Amani

    Hiyo sio saws, Kanisa kama Kanisa haliwezi kusema msiipigiw kura ccm, ila lina jukumu la kuieleimisha jamii kwamba hili sio saws na hili ni sawa! Kwahiyo, waumini wanapaswa kumchagua kwa utashi wao, ukisema Kanisa liwagize waumini wasiichague ccm , hiyo itakua kuingilia siasa na inawezekana pia...
  12. T

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 CHADEMA yamburuza Msajili wa Vyama vya Siasa Mahakamani

    Tatizo watu hamjui Chadema inataka nini nchi hii, Chadema wanajua mawakili anawaonea! Kwahiyo wakimwendekeza atazidi kuwaombea haha katika mambo mengine! Kwahiyo,Ili kuondoa uonevu kwao na kwa vyama vingine, walishinda kesi ,wanakua wameweka msingi ,ambao mahakama ,au kesi nyingine zitafanya...
  13. T

    JamiiForums Tanzania Askofu Bagonza: Tujifanye kuuliza - Kanisa ni mali ya mtu? Kama kakosea yeye, kwanini kanisa lifungwe?

    Ndio Maana anasimamia Makanisa zaidi ya 2000, ina Maana sadaka zinasaidia kueneza neno la Mungu ndio Maana anazidi kufungua matawi zaidi! Gwajima tatizo sio Sadaka zinaenda wapi, Gwajima ametaka au amekemea utekaji na watekaji, tatizo la kukemea kutekwa kwa watu ni nini!? Amekosea nini kukemea...
  14. T

    JamiiForums Tanzania DART yaingia mkataba wa miaka 12 na Emirates National Group kuendesha mfumo wa BRT jijini Dar es Salaam

    Inaaikitisha kwamba tukashindwa kuiendesha biashara ya daladala ambayo haina ushindani! Tumeshindwa kukusanya nauli ,kupanga routes na kupeleka magari services!? Kama tukashindwa kuiendesha biashara ya daladala, je biashara ya SGR biashara ya ndege tutaweza kweli!? Vijana tunawasomesha NIT...
Back
Top Bottom