We mwenyewe unaongelea humu jf ambapo all ur infos are confidential,unadhani kuikosoa serekali publically ni kazi rahisi???
Esp awamu hii ya wateka nyara???
Charity begins at home,anza ww ulioko hapa tz tuone ujasiri wako then ndio uje umshambulie Mange,usikute unemfollow kabisa na anakupasha...
Hzo camera footage za makonda akiingia clouds fanya kumrushia dada mange ili atupe ubuyu vzr,nadhani itakuwa msumali wa mwisho kwenye jeneza lake[emoji41]
Binafsi naunga mkono harakati za mwenye jiji lake la bandari salaama,ila nahoji dhamira yake haswa ni ipi???
Hapo awali katika kuwazima upinzani na maandamano yao ya UKUTA na ya kudai BUNGE LIVE alikuja na campaign ya usafi mara kupanda miti mara ziara ya dsm nzima nk
Leo hii dsm na nchi kwa...
Huyo ndio raisi wa wanyonge ambae anateua na kutenga then ana teua tena huku kundi kubwa la wanyonge anao wasimamia wakilia njaa...sijui atatukumbuka lini maana tangu achaguliwe uraisi yeye ni kuteua na kutengua tuu ajira kwa wananchi hakuna [emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji24]
Wabongo hatupendi utter truth(ukweli) tunapenda vitu viwe sugar coated,sasa huyu maza na binti yake wameenda kuchokonoa mzinga wa nyuki(mange) wakitarajia wapate asali mwisho wake wameotea manundu(matusi)
Mange kalipiza kisasi,hakuna baya kwa kulipiza kisasi coz hata dini inaruhusu:jino kwa jino...
Binafsi nampongeza dai kwa kazi nzuri ya kupeleka muziki wetu to the next level,ila naona kama graph yake inaanza kushuka coz nyimbo anazotoa ni "BIG G"
Collabo yake na p square haina hata miezi 3 ila ishajifia mbali...akae chini atazame the nxt thing to do kuboresha game yake
Kaka Ali yuko poa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.