Recent content by three phase

  1. three phase

    Huyu binti simuelewi. Naombeni ushauri

    DOGO SKIA CHUO ASILIMIA 99.999999% AKUNA MAPENZI YA KWELI FIKIRIA KWANI UKO ALIKO TOKA ANA MTU WE KAMA UTAWEZA PIGA SEPA UTAKUJA NISHUKURU BAADAE ALAFU SOMA MBWAAA WEWEEE MAISHA MTAANI MAGUMU
  2. three phase

    Je, inawezekana kuchaji battery za solar kwa umeme wa Tanesco?

    Inawezekana fata maelezo aya ninayo kupa Vitu unavyo takiwa kuwa navyo 1.bettry 12v,24v 2,AC to DC inverter iwe input 220ac utput 18dcV kwa jili ya kuchaji bettrt ya volt 12 Na 30dcV kwa ajili ya kichaji bettry ya volt 24 3.12v dc na 24v dc inverter kwa ajili ya kubadili umeme wa dc kwenda ac...
  3. three phase

    Tupia swali lolote la kiufundi kuhusiana na ufungaji wa solar ntakujibu.

    Ukitaka kujua watt ya kifaa chako chukua ampere ×voltage y kifaa chako Mfano iyo flat scree yako apo ilipo andikwa 19v kutakuwa n ampere zimeandikwa pia kwa flat tv nying za inch 24 itakuwa imeandikwa 4A au 3A A nikifupi cha ampere n V ni kifipu cha voltage So 19v × 4A =76watt
  4. three phase

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Ninayo ya 3g n 4g lain zote nicheki kwa namba 0721074991
  5. three phase

    Chanzo cha Mafuriko Morogoro mjini ni tuta la SGR, mamlaka zishughulikie hili

    Naskia na watu washa tangulia pale mbuyuni na mitaa ya tetebeach
  6. three phase

    Unaweza kula chakula gani kila siku bila kukikinai?

    Hii imeenda [emoji2935]
  7. three phase

    PreGE2025 Kwanini hupigi kura licha ya kuwa una sifa zinazokuruhusu kufanya hivyo?

    Nasoma comment mbaka sasa wasiotaka kupiga kula 3 wanaopiga kura 0 Kwa mimi naungana nao wasio piga kula.
  8. three phase

    Jiko Bomba Ni Jiko Lililotengenezwa Kutumia Unit Moja Tu Ya Umeme Mwezi Mzima

    Kwa mm nilivyo muelewa ili nijiko kama yale ya wakaanga chipsi yana feni ya kupuliza moto uwake kwa nguvu ss iyo feni ukiunga na umeme itakula 1unit kwa mwezi mzm Swali iyo adapter unaotumia ina kula watt ngapi mkuu niji akikishie kwamba ni kwl kwa mwezi naweza tumia 1unit
  9. three phase

    Nahitaji mini pocket Wi-Fi

    Shukrani kwa ushirikiano wenu
  10. three phase

    Nahitaji mini pocket Wi-Fi

    Nishapata jamani msinitafute
  11. three phase

    Nahitaji mini pocket Wi-Fi

    Tuma namba au nicheki kwa namba yangu apo juu
  12. three phase

    Nahitaji mini pocket Wi-Fi

    Kwa sasa nipo Dar es Salaam Kinondoni
  13. three phase

    Nahitaji mini pocket Wi-Fi

    Habari za muda huu wana Jamiiforums, nisiwachoshe mwenye min pocket wifi ya 4G inayoingia lain ya halotel au lain yoyote ile anicheki tuongee biashara namba 0621 074 991
  14. three phase

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    MSAHADA mwenye min pocket wifi ya 4G hallotel au yoyote yenye uwezo wa kuingia laini yoyote ile anicheki ofa yangu 20,000 IPO MFUKO WA SHATI
Back
Top Bottom