Mimi kijana wa kitanzania umri wangu ni chini ya 30, natafuta kazi kwenye kampuni au office ya mtu
- ni mzoefu kwenye computer activities
- computer maintanance
- pia ni degree holder from here Tz university
payments can be negotiable i dont expect much but atleast reasonable salary
hilo ni wazo zuri pia kaka, ila volunteering kwenye stationeries wanakua na waswas maybe kuibiwa na nlishafanya hvo mwny stationery akaona kama wivu kufanya vtu vng kwa mda mchache akaniita na kusema mdg wng atanisaidia so ww naomba upumzke
uaminifu kwakwel kwa binafs me ni mwaminifu and nipo tayar provide all necessary information kunihusu pia kima cha chini sijaelewa ni mtaj au mshahara??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.