Recent content by thomasi_mushi

  1. thomasi_mushi

    Updates za BVR mikoa ya Geita, Mwanza, Shinyanga na Simiyu

    Mbona kahama hamna hata dalili ya b v r !!
  2. thomasi_mushi

    Tabia za wakaka wa Kichaga kuvizia wasichana

    Ndorobo wewe mleta mada!!
  3. thomasi_mushi

    Salum Mwalimu na Joshua Nassari kushambulia Makambako kesho tar.25/04/2015

    We bibi acha kubwabwaja nani kakwambia hi nchi ni ya kikwete kikwete alipewa mamlaka ya kutuongoza tuu na sasa muda wake unaisha aondoke kama nchi ni yake abaki basi mpaka mwezi wa 12 aone nchi kama haija waka moto!!
  4. thomasi_mushi

    Picha: Mkutano ACT-Wazalendo wilaya ya Kahama

    Mm mwenyewe nilikiwepo hapo cdt na mm ni chadema damu zitto hana sera wala mawazo mapya yoyte na ukichunguza sana utagundua a c t ni zitto bila zitto hakuna chama pale na nimewambia vijana kama a c t wana jihamini wafanye mkutano bila zitto wata pata aibu ya mwaka!!
  5. thomasi_mushi

    Mabomu yanarindima mjini Kahama

    Police wamekuja kwenye tukio wamekuta watu wengi wao wakaanza kupiga mabomu bila kujua wanampigia nani hali siyo shwari kabisa bodaboda wamefunga njia na wanarusha mawe masabo!! Poloci wao ni mabomu tuu kuanzia asubuhi!
  6. thomasi_mushi

    Mkutano wa Freeman Mbowe mjini Kahama

    Walichokiona leo waki na lembeli na mwenzake maige kimewaacha kinywa wazi kwa kweli mji ulisimama gafla mbowe alipoingia mjini watu ni wengi sana sasa ivi ndo tunaelekea uwanjani siditii!
  7. thomasi_mushi

    Mbowe na Salumu Mwalimu kuwasha moto ndani ya mji wa Kahama leo

    Mkutano wa mbowe ni kesho ataanzia kwa waliopatwa na maafa halafu atamalizia mjini kwenye uwanja wa siditii!! Hamasa ni kubwa sana nimezunguka kwa waliopatwa na maafa wanasema wanamsubiri kwa hamu sana mbowe!!
  8. thomasi_mushi

    Simba ilicheza na timu ya daraja la pili ili kupata fedha za kujikimu

    Ni kweli simba ilicheza kahama ikatoka droo na timu ya ambasado ya huku kahama!
  9. thomasi_mushi

    Mfanyakazi wa Kutunza Maiti Mochwari akiri Kufanya Mapenzi na Maiti za Wanawake

    Hii ni kweli kabisa hata mm nilishawahi kumuona!
  10. thomasi_mushi

    Tumefika mwisho kuvumilia maovu ya jeshi la Polisi

    Kamanda haya mambo ya kulalamika mm nimeshachoka kwakweli tunachosubiri kwa sasa ni kauli moja tuu kutoka kwa viongozi wetu wakuu wa upinzani Kama ni kulalamikia police sasa ni miaka mingi wameacha wananchi wameamia kwa viongozi jamani uvumilivu huu mpaka lini? toeni kauli moja tuu Kama viongozi...
  11. thomasi_mushi

    CHADEMA Sombetini Arusha washiriki mazishi ya Edward Mgogo

    Nimepita leo niona kazi nzuri ya makamanda ongereni sana
  12. thomasi_mushi

    Je, unamfaham James Lembeli?

    Lembeli mwisho mwaka huu kamanda kahama kuna mwamko sana wa upinzani lembeli aende kijijini kwao huko tunasikia kuna jimbo mpya huku town hatumtaki tena!
  13. thomasi_mushi

    Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote ni wajanja!

    We mama umetumwa na nani? yaani wewe umeona mbowe tuu hapo? Shindwa na ulegee naona una mapepo wewe!
  14. thomasi_mushi

    Tanzia: Mfanyakazi wa ITV na mwanachama wa JamiiForums afariki dunia

    Poleni wote na mungu awape uvumilivu kipindi hiki kigumu!
Back
Top Bottom