Recent content by THOMAS NCHIKILA

  1. THOMAS NCHIKILA

    Escrow Scandal: Prof Sospeter Muhongo (Minister for Energy and Minerals) resigns

    Apelekwe mahakani co kukimbilia kujiuzuru..
  2. THOMAS NCHIKILA

    Hodi Wanachama

    Natumaini ni wazima wa afya na mkotayari kwa mapokez yangu,nitafurahi pindi nitakopoona nakaribishwa na kupokelewa kwa moyo mkunjufu bila kinyongo.Asanteni,,,..@
  3. THOMAS NCHIKILA

    Jinsi ya kuangalia startime bila kulipia

    wekeni basi hzo code watu tujirushe plz coz hiz wamezblock....
  4. THOMAS NCHIKILA

    PICHA: Ajali mbaya mlima Sekenke - Lori la Mafuta lateketeza wanne kwa moto!

    pole kwa wafiwa mungu awalaze mahali pema peponi marehemu wote.
  5. THOMAS NCHIKILA

    Wednesday, February 19, 2014 Harakati tanzania at 3:40 PM Vioja bunge la Katiba-Wajumbe wadai 300,00

    kama wao wanasema 300,000/: kwa siku haitoshi je, na anae pokea hyo hela kwa mwezi inakidhi mahitaji yake?
  6. THOMAS NCHIKILA

    Niwakati gani naweza kupata mtoto wakike au wakiume kulingana namzuko wa mwenza wangu

    Na ukitaka wakike unahitajika uzingatie nn:?majbu tafadhari...
  7. THOMAS NCHIKILA

    Uganda yapitisha sheria mpya kukataza wanawake kuvaa nguo fupi

    Tanzania tuige huu mfano wa hawa jirani zetu big up mseveni,big up uganda's people..
  8. THOMAS NCHIKILA

    Msaada tafadhali kuhusu mkopo Bayport

    wanakubali jaribu kufustilia vizuri chaliii.....@
  9. THOMAS NCHIKILA

    Mgomo wa daladala jijini Mwanza

    Madereva wa daladala wagoma kuingia barabarani na kusababisha wananchi kuchelewa makazini kwao vivyo hivyo na kwa wanafunzi pia chanzo bado sijakipata ila kwa tetesi ni kwamba hawaitaki stand ya daladala ya nyakato-buzuruga kwa madai imefinya sana kwa hiyo wanashndwa kupishana hadi aanze kitoka...
Back
Top Bottom