Habari ndugu wana jf,
Nimatumaini kuwa tumeamka salama kabisa tuombe Mungu pia atujalie afya njema na kutubariki tuweze kupata mkate wetu wa kila Siku.
Ndugu wana jamvi Mimi natafuta mpharmacia ili tuweze kufanya nae biashara ya duka la dawa za binadamu maana tusio na taaluma tunapaswa...
Habari za jioni wana JF
Kwa heshima na taadhima nimeamua kuwa Mjasiliamali.
Ni kwa kipindi cha miaka 4 sasa nikiwa kwenye ajira ya makampuni,nimekuwa mtumishi mwema kwa kipindi changu chote na wala sijawahi kuwa na kashfa yoyote kwenye ajira yangu.
Kwakuwa napenda kujiajiri kuliko kuajiriwa...
Dr Bernadeta umejaaliwa busara na wanawake wengine wangefuata mfano huo kweli tusingeweza kujutia kodi zetu.Lakini hadi sasa mnamaliza kodi zetu bure hasa wanawake wanaocheka cheka hovyo bila hata kuangalia kinachozungumzwa. Kweli mnatukera mnaotuwakilisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.