kadi ya Chama Cha Mapinduzi ambacho mimi ni mwananchama wake mtiifu
Yaan niliposoma hapo nikaacha na kukuonea huruma
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuh hicho ulichokiongea hata mm kilishawah kunitokea,hakika hata kama ukiamua kusaidia moyo wako utakuwa mgumu sana na always kutakuwa na mvutano ndani ya moyo.
But all in all Mungu ndo kimbilio letu jaribu kutenga muda umwombe Mungu akuongoze maana kama washajua unapokaa na hauna connection...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.