Kwa bahati nzuri leo nimesikiliza kipindi cha Redio Tumaini cha Dukuduku. Nimependa dukuduku kuhusu watangazaji wa Redio Tumaini. Watangazaji wameifanya Redio igeuke kituko kama siyo Redio ya Kanisa Katoliki. Hata mkurugenzi wa Redio Tumaini hana habari kinachoendelea. Pamoja na kuchangisha...
Jiji la Dar es Salaam halikuzuka tu. Zamani ilikuwa ni vijiji vya wavuvi na vijiji vya wakulima wa minazi, mahindi, mihogo, mpunga, mikorosho n.k. Unapopaona leo ni uswahilini ndiyo Dar es Salaam yenyewe ya vijiji. Ambako siyo uswahilini yalikuwa ni mapori hata kulima hayakufaa hata kidogo kwa...
Hii kesi serikali
itanyoosha mikono tu! Lakini kubwa nililojifunza ni kuwa wachangiaji wengi wanayo elimu ndogo sana kuhusu uendeshaji wa mashauri na utetezi mahakamani. Ujinga! Hata kisichohusu sheria watu wanashangilia "ETI MWALIMU WA SHERIA" wakati ni mabishano ya kawaida kuhusu kilichotokea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.