Recent content by ThnkingAloud

  1. T

    JamiiForums Tanzania PICHA: Hii Inaonesha Lissu Kajikatia Tamaa Kabisa na Kuvurugwa akili. Jela ni Mwalimu Hodari asiyefelisha Masomo Yake

    Ikiwa ni pamoja na Polepole wakati wa JPM. Mzee wa VIEITE.
  2. T

    JamiiForums Tanzania Redio Tumaini - Kweli Mnatuboa

    Wewe ndiyo hujui nilichoandika.
  3. T

    JamiiForums Tanzania Redio Tumaini - Kweli Mnatuboa

    Kwa bahati nzuri leo nimesikiliza kipindi cha Redio Tumaini cha Dukuduku. Nimependa dukuduku kuhusu watangazaji wa Redio Tumaini. Watangazaji wameifanya Redio igeuke kituko kama siyo Redio ya Kanisa Katoliki. Hata mkurugenzi wa Redio Tumaini hana habari kinachoendelea. Pamoja na kuchangisha...
  4. T

    JamiiForums Tanzania Je, hii inawezekana kwa mtu kuwa msambazaji wa gesi ya kupikia (LPG - Liquefied Petroleum Gas) mitaani kwa njia ya Bomba !?..

    Hao wamelala usingizi wa pono mpaka wapate maelekezo kutoka mawinguni.
  5. T

    JamiiForums Tanzania Ni kwanini waislam wakiwa wengi sehemu fulani wanapenda kulazimisha dini nyingine kufuata taratibu zao na wapo tayari kudhuru wasiofuata

    Jiji la Dar es Salaam halikuzuka tu. Zamani ilikuwa ni vijiji vya wavuvi na vijiji vya wakulima wa minazi, mahindi, mihogo, mpunga, mikorosho n.k. Unapopaona leo ni uswahilini ndiyo Dar es Salaam yenyewe ya vijiji. Ambako siyo uswahilini yalikuwa ni mapori hata kulima hayakufaa hata kidogo kwa...
  6. T

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Inasemekana, waraka wa kwaresma wa TEC-2026 upo tayari na umejaa maoni binafsi ya katibu mkuu wa baraza hilo pekee

    Mjinga sana wewe. Umetumwa na wasiojulikana ambao RUSHWA INAWAKEMEA badala ya wao kuikemea!
  7. T

    JamiiForums Tanzania GE2025 Lissu ni mtu na nusu

    Wako wengi ila tu wewe ndiyo hujui.
  8. T

    JamiiForums Tanzania GE2025 Hivi mnajua kuwa hoja ya kutaka reforms za uchaguzi ilianzishwa na ACT WAZALENDO ila wakaambiwa wanatumika na chama tawala kuipamba katiba mbovu

    Huo ikwa ni msimamo wa CUF ta Naalim Seif siyo ACT Wazalendo ya Zitto Kabwe!
  9. T

    JamiiForums Tanzania GE2025 Lissu chini ya ulinzi mkali afikishwa Mahakamani

    Hiyo ni kweli. Nakushauri usone histori ya Hitler na kilichotokea baadaye. Muhimu ni strong institutions siyo strong person.
  10. T

    JamiiForums Tanzania GE2025 Lissu chini ya ulinzi mkali afikishwa Mahakamani

    Hii kesi serikali itanyoosha mikono tu! Lakini kubwa nililojifunza ni kuwa wachangiaji wengi wanayo elimu ndogo sana kuhusu uendeshaji wa mashauri na utetezi mahakamani. Ujinga! Hata kisichohusu sheria watu wanashangilia "ETI MWALIMU WA SHERIA" wakati ni mabishano ya kawaida kuhusu kilichotokea...
  11. T

    JamiiForums Tanzania Employment and Labour Relations Act. Cap. 366 - Section 40

    Ni vizuri kunufaisha wanajamvi wote wanaofuatilia huu uzi. Nakupongeza.
Back
Top Bottom