baz kaiza
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 11,494
- 12,123
Lissu miongoni mwa best students kitivo cha sheria UDSMNa uhakika 💯, mama amezungukwa na vilaza wanaomshauri, yaani hii move ya kumfunga Lissu Jela ilikuwa wazi kabisa unamuinua kisiasa, na imeonesha jamaa ana hatarisha maslai yao, hivyo akitoka Jela atakachokuwa anaongea basi kitabebwa kwa uzito na umma wa Watanzania. The biggest political mistake
Tundu Lissu ni Ilboru moja! Tena Ilboru ile ya zamani! Hakika huyu jamaa ana akili nyingi san