Hii kitu kwa upande wangu ipo ila ina sense tofauti kidogo sasa mi sio kwamba na teseka isipokuwa ti mi huwa ananijia kwenye njoze mdada mmoja hv wakuitwa RACHEL MMARY huyu hatukuwah kuw na serious relationship huwez amini ni about miaka 9 sasa tumepotezana ila ndio dem ninae muota mara nyingi...
Kila mwenye nyumba kubwa akinunja chupa 1000 mwanangu hannibal akizaliwa ntapata wapi hii bidhaa ili kuweka ngozi yake sawa kiafya si tutapata matajiri wamemaliza mafuta yote 😂😂😂
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.