Tabia zetu mbaya za kupendezwa na mambo mabaya tunazimalizaje ????.
Kwa sababu tunatumia kigezo cha utandawazi kufanya maovu ni nini hiii??. Kwa wake/waume wa karne hii ya 21???
Habari? Nimefungua Uzi huu kuweza kuelimishana na kubadilishana mawazo juu ya kinachoendelea juu ya WANAWAKE WETU NA UTANDAWAZI,
Neno utandawazi simu hizi limekuwa kama sehemu yetu ya maisha
UTAKUTA ""' Mbona hivyo"'' kwa majibu rahisi kabisa zama zimebadilika Na kuendelea kuchekaeana tu...
Utandawazi ni MIONGONI MWA MAMBO YALIYO HARIBU WANAWAKE WETU. Lakin haitoshi kusema utandawazi. Kwa sababu wanawake hawa wamepata kubadilika kwa sababu yetu sisi wanaume pia. MWANAUME HUNASAUTI KWA MKEO/MCHUMBA WAKO. AKÍONACHO na kukifanya nibpoa tu kweli. Tunasemaje utandawazi wakati hatuwezi...
Kama wanajamiiforum wenzangu tuwe pamoja katika Uzi huuu wa fursa na nzuri za kupata mitaji na kukuza biashara yako. Ama kuangalia sehemu inayoweza kukunyanyu kiuchumi. Na kukutoa katika shida. Tupia fursa yako hapa
Wakati mwingine Mimi kama kijana huangalia mikopo kwa kutizamaa fursa iliopo wakati ule ukizingatia kiwango cha pesa niliyonayo. Hushindwa kusaccess kwa sababu tu ya mtaji ila Marengo yangu so kill eza hata
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.