Nimeshangaa kuona eti wanajenga vibanda pale maeneo jirani na shule ya Ujiji Sekondari wakati kule Stand walipohamishiwa bado kuna vibanda vingi sana havina watu.
Nashauri vile vibanda vibomolewe na wale wanaotaka kujenga pale walazimishwe waende kule Masanga Stand Mpya wakajazilie zile nafasi...
Hii stori na mimi ilishanitokea na mtiririko wake unafanana na huu 100%.
Kwangu walipita njia zote kama walizopita kwako. Tumetofautiana tu hapo kwenye aina ya matatizo waliyoyaona baada ya kuwaonesha kiganja.
Moja ya kitu kilichonifanya niwaamini ni pale nilipowapa kiganja na kuniambia "dooh...
Kapanda Bajaji kutokea mjini hadi Ujiji anakwambia Kasulu kuna hoteli nzuri kuliko Kigoma Manispaa[emoji1787][emoji1787].
yani hawa huwa wanapita kwenye barabara kuu tu kisha wanaanza kutoa hukumu.
Au wamekariri mpaka waone Magorofa.
Hakuna sehem nzuri yenye nafuu ya chakula na mazingira...
Aliyekuwa winga teleza wa klabu ya Simba, Yahya Akilimali, amekutwa na umauti usiku wa kuamkia leo Jumamosi ya Oktoba 30, 2021 katika Hospital ya Maweni, Kigoma.
Mazishi yatafanyika leo nyumbani kwao Ujiji Kigoma.
1. Dew Drop
2. Cool blue
3.Udzungwa
Hakuna maji kama hayo kwa Bongo!
Pia haya maji ya Cool Blue sijui kwanini hayapatikani sehem nyingi hata kwa Dar kuyapata ni shida!!
Nani kakuambia Kigoma ni mkoa masikini?!!!
1. Ulishawahi kuskia Kigoma ina njaa? ( kumbuka kuna mikoa huwa inaomba msaada wa chakula, Kigoma haimo ).
2. Kigoma ina neema tele ikiwemo ardhi yenye rutuba, Mito na Maji.
3. Kigoma kwa sasa ni miongoni mwa mikoa michache yenye hoteli nzuri za...
Walifanya makosa au hawakufanya?
Mashabiki hawakurusha machupa?
Tim hazikuwekewa mlango maalum wa kupita ila wakakaidi na kupitia mlango mwingine?
Viongozi wa tim hawakuwekewa mlango maalum wa kupita ila wakakaidi na kupitia kwenye mlango wa tim?
Morrison hakuvua nguo?
Mukoko hakumpiga mwenzie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.