Upasuaji wa vidonda vya tumbo

Upasuaji wa vidonda vya tumbo

asant sanaa mkuu dozi ni kwa muda gani na kutwa au kwa siku mara ngapi kwa muda gani?


kwa siku unaweza tumia mara mara au mbili mkuu ila ii vyema ukatumia kwanza kwa muda wa wiki mbili kuangalia maendeleo yako kisha baada ya hapo unaweza endelea nayo mpaka pale utakapoona upo sawa baada ya kutest vile vitu vilivyokuwa sinakusumbua ukila
 
Mimi nimeumwa Sana Hali hiyo sasa fanya yafuatayo
Acha kula pilau
Acha kula viporo
Acha kunywa maziwe yawe fresh au mgando achana nazo
Achana soda soda
Acha kutumia nanasi
Acahna na pineapple
Acah mawazo au punguza
Acah kukasirika ovyo

Nilizingatia hayo na nikapata na maziwa ya mbuzi wa kisasa had sas HV nakandamiza chupa zimq la kvant
 
Mkuu asante sana kwa msaada wako ila nilishatumia vimenianza 2008 mpaka sasa navokwambia hakuna rangi ya dawa sijaona hasa hizi za asili ndomana nimefikia hitimisho kama kuna upasuaji wa hii kitu mnijuze tu na gharama zake pia maana gharama za hiyo miaka kama ningefanya upasuaji nahisi zisingefika
Nawaza tu baada ya mateso hadi kufikilia huduma ambazo labda hazipo

Sent using Jamii Forums mobile app
Jaribu hii
Chukua alovera zile za kijani kama majani ya kujaa ndoo ya lita kumi, chukua chungu kikubwa kutoshea hayo majani, yaweke bila maji na ukifunge hakikisha umekifunga haswa unaeza toboa sehm ndogo ya mvuke ili kisilipuke

Chemsha hadi kiungue kabisa siku nzima ya masaa 24 bila kupumbzika mpaka kikauke ku kuwa mkaa nunua asali frssh ya wamasai then usage nusu kilo kwa lita ya asali changanya utakuwa unakula kila kabla ya mlo kwa siku 60 mara tatu kwa siku.

Nina amini Mungu atakusaidia
 
Ina maana hizo dawa zinazotangazwa redioni kuwa zinatibu vidonda kwamba hazina msaada wowote?.
 
Mkuu asante sana kwa msaada wako ila nilishatumia vimenianza 2008 mpaka sasa navokwambia hakuna rangi ya dawa sijaona hasa hizi za asili ndomana nimefikia hitimisho kama kuna upasuaji wa hii kitu mnijuze tu na gharama zake pia maana gharama za hiyo miaka kama ningefanya upasuaji nahisi zisingefika
Nawaza tu baada ya mateso hadi kufikilia huduma ambazo labda hazipo

Sent using Jamii Forums mobile app
Adui mkubwa wa Ulcers ni MAWAZO, ukiwa mtu mwenye mawazo na masononeko utaumwa weye hadi ujikatie tamaa,

Badili Mfumo wako wa chakula kwa kuepuka kula vyakula vinavyochochea Acid tumboni,
Mawazo na Hasira vinachochea sana uzalishaji wa Acid,

Umetumia dawa nyingi sawa je hizo dawa umetumia kwa Muda gani? Maana wengi hutaka kutumia Dawa wiki mbili anataka awe amepona bila kujua ugonjwa aliokua nao niwa siku nyingi kwa maana hiyo na matibabu yake lazima yachukue muda mrefu,

Anza Dozi ya BAMIA, Bamia ni kiboko kwa Peptic Ulcers, ni simple dozi isiyo na gharama wala kupoteza Muda, unachukua Bamia zako unazikata kata vipande vidogo unachemsha kiasi unaweza kuweka chumvi kidogo kuleta ladha kisha unakunywa kikombe kimoja asubuhi mchana na jioni au asubuhi na jioni kila siku kwa miezi mitatu mfululizo baada ya hapo unaenda kupima, daktari lazima aone acid imepungua so unaweza kuendelea kwa miezi mitatu mingine,

NB: Ukianza kutumia Bamia utapata matokeo ya haraka usiache dozi kwa kujihisi umepona endelea kwa miezi hiyo mitatu.
 
Mwaka Jana kitaani kwetu hapa Kuna dogo wa 24 yrs alikufaga eti walisema alifanyiwa upasuaji wa vidondatumbo
Na ndio ilikuwa mara yangu ya Kwanza kuskia hiyo habari
 
Adui mkubwa wa Ulcers ni MAWAZO, ukiwa mtu mwenye mawazo na masononeko utaumwa weye hadi ujikatie tamaa,

Badili Mfumo wako wa chakula kwa kuepuka kula vyakula vinavyochochea Acid tumboni,
Mawazo na Hasira vinachochea sana uzalishaji wa Acid,

Umetumia dawa nyingi sawa je hizo dawa umetumia kwa Muda gani? Maana wengi hutaka kutumia Dawa wiki mbili anataka awe amepona bila kujua ugonjwa aliokua nao niwa siku nyingi kwa maana hiyo na matibabu yake lazima yachukue muda mrefu,

Anza Dozi ya BAMIA, Bamia ni kiboko kwa Peptic Ulcers, ni simple dozi isiyo na gharama wala kupoteza Muda, unachukua Bamia zako unazikata kata vipande vidogo unachemsha kiasi unaweza kuweka chumvi kidogo kuleta ladha kisha unakunywa kikombe kimoja asubuhi mchana na jioni au asubuhi na jioni kila siku kwa miezi mitatu mfululizo baada ya hapo unaenda kupima, daktari lazima aone acid imepungua so unaweza kuendelea kwa miezi mitatu mingine,

NB: Ukianza kutumia Bamia utapata matokeo ya haraka usiache dozi kwa kujihisi umepona endelea kwa miezi hiyo mitatu.
Bamia unazichemsha kisha unakunywa maji yake ama unakula Bamia zenyewe? Msaada kidogo hapo tafadhali.
 
Mkuu asante sana kwa msaada wako ila nilishatumia vimenianza 2008 mpaka sasa navokwambia hakuna rangi ya dawa sijaona hasa hizi za asili ndomana nimefikia hitimisho kama kuna upasuaji wa hii kitu mnijuze tu na gharama zake pia maana gharama za hiyo miaka kama ningefanya upasuaji nahisi zisingefika
Nawaza tu baada ya mateso hadi kufikilia huduma ambazo labda hazipo

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini usivipotezee mm nilipima ikawa positive lakini nimevipotezea akili yangu nimeiambia kuwa sina ilo tatizo staki kusikilizia kinachoendelea mwilini and saiz nipo nipo t sijui ata naumwa nn najion Niko poa tu.lakini siku nikitulia nataka nirudie kupima
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom