habari wapendwa,naomba msaada wa kina nimezaa na mwanaume matarajio ye2 ilikuwa 2funge ndoa lkn haikuwa ridhki amefnga ndoa na m2 mwingne pacpo kunijulisha kwa sasa mtoto ana miaka 3 hvyo anahtaji ma2nzo je nifanye nn kwan kila niwaclianapo na mzazi mwenzangu hat cm hapokei ni...
Wapendwa niko njia panda nilizaa na mwanaume lakn amefikia hatua ya kuoa bila kunitarifu kinyume na makubaliano ye2,kwa ss mtoto anahitaji ma2nzo pamoja na shule je nifanye nn ili huyu mtto apate haki zake za msingi?kwan baba yke yko hai na nimuajiriwa sekta bnafsi
asanten kwa ushauri wenu,4sure ilifikia ha2a nilgoma kutoa akaniambia anaenda shle 2dgree then nani atam2nza mtt?nilimjb Mungu ajua yani ndani hapakutosha ndani ya miezi 6 hakuna maelewano Mungu alnisaidia nikajfungua salama but mpaka ss hachangii chochote na kila niombapo msaada hujibu hali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.