Munkari
JF-Expert Member
- Feb 9, 2013
- 8,084
- 4,363
Munkari..mimi nimeshuhudia watu wengi sana wa aina hii..unajua wanaume wengi wakiwa na girlfriend kutimia kinga ni big no,sasa mtu akipata mimba anamwambia atoe tena bila huruma..na sikufichi wasichana wengi akikaa na mtu 3yrs anajua ndoa tayari..sasa kama mtu hana muda na wewe anaonekana mbona tatizo watoto wa kike tunajipa moyo atabadirika tu.nadhani ndio kilichomtokea huyu dada..
yani mi namwonea huruma coz anaharibu kizazi chake mwisho wa cku anaachwa soremba na huyohuyo! Mapenzi mengne yakitumwa zaid!