Nisaidieni mwenzenu

Nisaidieni mwenzenu

Naamini kuna wanasheria humu ndani ya jukwaa, jamani msaidieni huyu dada kwaniabaya mtoto. Pamojanawengine kuuliza kuzaa ndiokufunga ndoa,ikumbukwe kuwa( hata nany wanaimemnajua) jinsi wadada wanavyorubuniwa kwa staili yandoa. Anyway tuache hayo, bi dada nenda ustawi wa jamii watakupaushauri na msaada wa kupata matunzoya mtoto na kwa kuwa kishaamua kutokukusaidia usikubalu tena promises nyingine fuata sheria.
Kwa wadada jamani ni kuwa makini hasa, jihadhari kupata mtoto nje ya ndoa athari ni nyingi zaidi kuliko tunavyofikiria, wengine hudhani akiwa na pesa tu inatosha matunzo ni zaidi ya pesa. Japo mtu akiwa na pesa makali mengine hupungua, lakini athari za kisaikolojia nazo si za kuupuuzia. Utakuta wengine wanawalaumu watoto kwa tabia fulanikumbe chimbuko ni mtoto nje ya ndoa ameathiriwa na mitirirkoya psychological toucher za ndani ya nyumba, mitaani, shuleni etc. Wakaka nanyi mjiepushe kuzalisha kina dada hovyuo halafu kuwakimbia. Kimaumbile yenu mnaweza kupata watoto hata Mia moja, sasa chukueni tahadhari kwani uzuri tahadhari zipo jamani kwa nini hamzitumiii?????
 
Kwa nini ulikubali kuzaa nae?

Na kwa nini ukikubali kuzaa ilhali ukijua huna uwezo wa kulea?

Anyway mpeleke kwa watu wa ustawi
 
  • Thanks
Reactions: Luv
Pole sana dada...yangu lkn kulea ni jukumu la wote...dai haki yako kwenye vyombo vyinavyostahili vya sheria
 
Kwa kuwa ameanza yeye kumwaga mboga wewe malizia kwa kumwaga ugali;
kama ni noma na iwe noma;

Mtokelezee huko huko aliko, kwa kumpa staha anzia hapo job;
then ufuatilie ramani ya kufika huko huko kwa mkewe mpya.

Wanajua kutia na kuzaa kulea wanapiga chenga;
 
Duh pole mpendwa cha msingi fuata tu mambo ya kisheria ila kabla ya hapo jaribu kuonana na wazazi wa pande zote mbili kwako na kwake ukiona hamna respond nzuri upande wao fuatilia masala ya kisheria kama walivyoshauuri baadhi ya wadau,kama ni mahakamni,ustawi alimradi mgawane majukumu alikuwepo wakati wa raha asikimbie wakati wa shida
 
tukisema msizini mnasema mnajaribisha kama mashine ziko sawa......I'm speechless!
 
Back
Top Bottom