Kwakua umejibu kishabiki ni wazi umeamua kutotaka kujua ukweli wa kilichotokea na kinachoendelea mpaka sasa. Basi tusubiri matokeo siku ya jumatatu au jumanne.
Habari za muda.
Ndoto yangu kuamkia siku ya leo inaanza najiona nipo na watu kadhaa tumetembelea pahala tutakuta tembo wakiwa wanachungwa (kama ng'ombe wanavochungwa). Na mchungaji alikuwepo (kijana mdogo tu) na fimbo yake pembeni, gafla wakatokea Simba wawili wakaja kuwararua wale tembo...
Unazungumziaje CCM waliojenga hekalu la ofisi afu wananchi ikiwemo wanachama wao wanakunywa maji na ng'ombe sehemu moja.
Vp kuhusu wanafunzi wanaokaa sakafuni na wakat CCM ofisini kwao wameweka viti vya kuzunguka.
Afu ulivo mvivu wa kufikiri nani alikwambia ofisi ndio ishara ya uongozi...
Kuna mpigaji nchi hii zaidi ya Mwenyekiti wa CCM TAIFA?
Mwenye tuhuma za kupora nyumba za serikali, mwenye matamshi machafu kwa jamii.
Fikiria hii sentensi "pipo yuzidi tudai ini ze leki". Huyu alietoa hyo sentensi ndio Genius wa chama chenu, ambaye mnaona anafaa kuwaongoza milele mpaka...
Ona ulivo mjinga, mbona sheria zipo wazi kabisa, kama chadema kingekuwa cha kisultan unadhani msajili angekuwa amekiacha mpaka leo bila kukifuta..!?
Kuana kikundi dhaifu nchi hii kama CCM!? Katibu mkuu wenu kathibitisha mara nyingi jinsi mnavotegemea dola kubaki madarakani, utasema hicho ni...
Umejawa na ushabiki na huijui historia ya nchi vizuri. Wakati nchi inapata uhuru, TANU ilikuwa na ofisi..!?
Afu nani alikwambia ofisi ni ishara ya ukombozi au uongozi..!?
CCM yenye ofisi nzuri Hapa Dodoma, hiyo ofisi yao imesaidia nini kutatua tatzo la ajira kwa hii miaka mitano..!?
Hiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.