Uchaguzi 2020 Ni Mgombea Urais Kijana, shupavu, ana akili nyingi, jeuri, anajiamni ni msafi na mzalendo wa kweli

MAHANJU

JF-Expert Member
Aug 26, 2014
5,244
7,966
Mwalimu aliwahi kusema kwamba taifa hili linahitaji vijana shupavu, jeuri, wanaojiamini na wenye kuhoji mambo kuhusu watawala bila ya kuogopa na siyo wale wa ndiyo mzee.

Sasa nimekubali zaidi ya 100% kuwa Tundu Lissu ni moja ya vijana aliwahi kuwasema mwalimu. Lundu Lissu siyomuoga anajiamini, ni shupavu na ana msimamo.

Nikiri kusema kwa tabia alizokuwa nazo mwalimu alivyokuwa akipambana na wakoloni bila kujali uwezo wao kipindi hicho,alikua kijana jeuri, shupavu na anayejiamini na hakujali kua wakoloni wangeweza kumuondolea uhai wake. Sioni haya kabisa kumfananisha Mwalimu Nyerere na Tundu Lissu kwa Characters zake.

Tundu Lissu ni mzalendo ajabu kupigwa na kuumizwa na waovu ambao alijua kabisa kwamba wako nyumbani na alipoona akasema kua yeye atarejea kwenye ardhi yake, huyu mtu anajiamini sana na ni wa ajabu. Anarudi huku akijua kabisa waliotaka kumuua wapo humu humu humu nchini.

ANGALIZO KWA NEC
Tume ya taifa ya uchaguzi NEC tunawaomba sana msije mkajisahau mkaguzi kuwa watawala ndiyo wenye nchi, Wananchi ndiyo wenye nchi yao msidanganyike mkatutengenezea historia mbaya. Nimesema kua huyu kijana ni shupavu, jeuri na anajiami na anaifahamu vilivyo nchi yake, msikubali kutumika na watu wa kupita. Haitakuwa rahisi sana msimtangaze Lissu akishinda kwa halali.
 
Huyu robot mnambeba Sana.
Kutafuta haki ni maumbile ya ubinadamu ambayo hakuna duniani anayeweza kuyaondoa. Binadamu ni kiumbe kinachoweza kutenda au kutotenda haki na haki. Binadamu asitemtendea haki mwenzake hiyo ni dhuluma na kama hakuna sheria ya kuondoa dhuluma hiyo basi aliyedhlumiwa ana mamlaka ya kufanya lolote kupata haki yake.
 
Na mwenye uraia wa nchi mbili
Hiyo ndio hoja wamejipanga nayo iliwavuruge uchaguzi. Wanatufanya sisi wajinga kwanini walimteua wakatiwakijuwa anauraia mwingine?
Au ndio maana wanatoa elimu mbomvi iliwatuchezee michezo hii sasa nawaambia hii elimu ndogo mnayoitoa mashuleni tujumlisha na madrasa tunashirikishana waleambao hawasomi madrasa hamtudanganyi tena
 
Uzalendo wa kupigania watu wa nje? Kwa mfano kusema kwamba makenikia isiguswe pamoja na kwamba mchanga umechimbwa hapa kwetu nchini. Tuwaachie tu hao waliochimba tusije tukashitakiwa. Au kusema kwamba ziwa Nyasa lote ni la Malawi.

Watanzania wakiogelea ufukoni Mbamba Bay, n.k. watakuwa wameingia Malawi. Au kusema maji ya Ziwa Victoria tusiyaguse kuyapeleka Shinyanga, Tabora hadi Dodoma kwa kuwa yatapunguza maji yanayonywesha Misri? Ndiyo unatutaka Watanzania tumchague mtu mwenye UZALENDO wa aina hiyo?
 
Ninachoamini yeyote anayemfanyia ubaya Lissu huwa anajiangamiza mwenyewe, ndivyo alivyoumbwa. Ni kama vile anayemuombea Zitto kifo anatangulia yeye.
NEC watch out msitii maagizo haramu.
Zitto Kabwe anaogopwa na wenye imani ya kukusanya Wapiga ramli Chonganishi kufanya ibaada. Mpaka saizi anewafundisha kuwang akina Kalyng, Baba lev , Hussein luhv, ruhomvy, kachech, n.k.
 
Back
Top Bottom