Recent content by Thesnooperman

  1. Thesnooperman

    Natafuta mwanamke ambaye atakuwa mke wangu

    Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 34, ninaishi Mbeya. Natafuta mwanamke mwenye umri kati ya miaka 30 hadi 34, awe mkazi wa Mbeya na asiwe na watoto zaidi ya wawili. Awe tayari kuishi nami endapo tutafikiana. Aliyetayari anaweza kuwasiliana nami kwa mazungumzo zaidi.
  2. Thesnooperman

    Wivu gani huu? Ile Adhabu aliyonipa itamrudia siku moja

    Mke Wa Mtu Sumu,angalia Yasije Kukutoka Makubwa
  3. Thesnooperman

    Huu ni zaidi ya ujasiri

    Kafanya Vzur Maana Mwanamke Si Wako Pekee Yako,,
  4. Thesnooperman

    Hivi hizi fine za trafic zilnalipwaje

    nenda kwa wakala wa nmb benk kalipe
  5. Thesnooperman

    Nimechoka kuwa mpweke nahitaji msichana mwenye serious relationship

    Jamani nimechoka kuwa mpweke Nina miaka miwili nipo single;so nahitaji msichana mwenye mapenzi ya dhati; umri kati ya miaka 20 mpka 25;
  6. Thesnooperman

    Natafuta soko la kuku wa kienyeji

    Habari wadau mimi nipo dar maeneo ya mbagala natafuta soko la kuuza kuku kwa jumla na rejareja kwa bei ya maelewano...tafadhali kama wahitaji naomba tuwasiliane kwa 0676040383
  7. Thesnooperman

    Napenda kufahamu mmiliki wa hiki kituo kipya cha Radio (E-FM)

    nataka kufahamu e fm radio ni nani mmiliki wake?
  8. Thesnooperman

    Daladala: Kimara 1000, Mbezi 1500 - Shukrani Wabunge wetu, Sumatra na H/Jiji

    acha kulalamika nenda mpka stendi ya daladala hapo kariakoo subiri gari la mbezi ndo upande na nauli yake ni mia sita mpka mbezi,ila ukipandia njiani kabla halijafika stend ya kariakoo nauli yake ni buku,kiaje? nafafanua ukipanda kuanzia fire au bharessa kwenda kariakoo ni mia nne na si unaenda...
  9. Thesnooperman

    Kesho kuna mgomo wa madereva wa mabasi ya kwenda mikoani

    kesho kunategemea tena kuwa na mgomo wa madereva wa basi ya kwenda mikoani,.hizi ni habari za chini chini(hazijasambaa kwa watu ila madereva pekee ndo wanajua)
  10. Thesnooperman

    Nimechoka kuwa mpweke

    jaman bado cjampata
  11. Thesnooperman

    Nimechoka kuwa mpweke

    unanijua wewe?
  12. Thesnooperman

    Nimechoka kuwa mpweke

    awe wa kawaida tu mwenye kujali na kuthamin utu,awe dar
  13. Thesnooperman

    Nimechoka kuwa mpweke

    Mimi ni kijana wa kiume umri wangu miaka 24, nipo Dar es salaam. Natafuta msichana yeyote mzuri mwenye umri kati ya 18~24 kwa ajili ya mahusiano baadae ndoa. Mwenye kuhitaji ani pm tupange yetu Karibu sana
Back
Top Bottom