Lishe bora pekee (Balanced diet) ndio itarudisha damu kwa haraka.
Hakuna mzizi au gome la mti au mboga ya majani pekee wala tunda lolote peke yake lenye uwezo wa kurudisha damu bila kula balanced diet.
Hivyo dawa pekee ya asili ya kurudisha damu ni kula mlo kamili/ balanced diet sababu...
Hata mm nilitumia hizo dawa nikapona kabisa.
Lakini kwa sasa vinajirudia rudia kwa sababu ya stress zinazotokana na kushabikia ARSENAL! yaani km jana usiku sikupata usingizi Arsenal ilipofungwa maana vidonda vilicharuka sana.
Babu Wenger tuonee huruma mashabiki wa Arsenal utatuua kwa...
Ugonjwa wa zinaa huo ndio maana unajirudia rudia unatakiwa mtibiwe pamoja na mwenza wako. Pia uache kwenda buzz kwa buzz au mwenza wako anachepuka sana!
Matibabu ya jino lililotoboka ni kulitibu na kuliziba kwa dawa/cement/material sahihi ili kurudisha afya yake, muonekano/ form yake, uzuri wake na kazi yake!
Km unafanya usirudi nyuma acha kazi usimsikilize yeyote tena wanavyokua na wasiwasi na ww ukasimamia msimamo wako lazima utakomaa!
Halafu nimekaa krb na watu wa painting na graphic design waliokua serious wote sasa wako vizuri ndani ya 5yrs tu, wanaocheza hawajaendelea lakini tunakesha nao bar...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.