Recent content by ThemiOne

  1. T

    Tanzania tulikuwa Wasuluhishi kwenye Migogoro ya Majirani zetu .... Kwanini wao hawaji, Wanatutelekeza!!?

    Muda haujafika. Bado kale ka ulimbukeni ka umuchknow hakajatutoka. ....tujipe kamuda kidoogo . Nahisi hili tunaweza limaliza hata sisi wenyewe. Mungu atupitishe njia sahihi
  2. T

    Gwajima si shujaa wetu lakini kwa hili la leo anaelekea kwenye huo ushujaa. Je, atakuwa salama kiasi gani?

    Ponda nimekuja kugundua ni bonge la intellectual na mzalendo haswa. Propaganda uchwara ndo zilimchafua.
  3. T

    Gwajima si shujaa wetu lakini kwa hili la leo anaelekea kwenye huo ushujaa. Je, atakuwa salama kiasi gani?

    Alikiri kwamba chaguo lake ilikuwa mwinyi.. huyu alikuwa pendekezo la alemtangulia
  4. T

    Kutoka Maktaba; Show ya Pasaka kutoka kwa Power Mabula

    Kababa yee....yee( huyu alikuwa mwana mazingaumbwe)
  5. T

    Cheo ni dhamana, IGP Mstaafu Mahitta ajitokeza kuaga mwili wa OCD wa Chanika

    Nakumbuka ujambazi hapo mwishoni ulipamba motoo
  6. T

    Mh Kassimu Majaliwa, Mimi nimekubali kwenda VETA KUSOMA USHONAJI, nikimaliza ufundi nikajiali wewe na watu wa BODI YA MIKOPO ELIMU YA JUU mtanifata?

    As long as utakuwa unachangia uchumi wa nchi kwa kulipa kodi ni bora kuliko kubaki mzigo kwa taifa. Pia kutakuwa na njia nyingine ya kuichangia bodi. Kumbuka ni lazima kuwa na TIN hivyo watakupata tu
  7. T

    DOKEZO Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha ni aibu kwa jiji

    Huu uwanja kiuhalisia ulitakiwa kutaifishwa haukutakiwa kubaki kwa chama tawala kama ilivyo sasa ili serikali iwajibike nao. Sababu za kusema hivyo ni kwasababu kila mtanzania alichangia kwenye ujenzi . Nakumbuka tulikatwa mishahara kuujenga pia kulikuwa na asilima ya pato la TBL (wazalishaji...
  8. T

    Kwa Nini Hakuna Safu ya 13 Kwenye Ndege? Ushirikina au Bahati Mbaya?

    Nikiwa kwenye safari yangu ya kurudi katika mihangaiko ya kuusaka ugali, nilipitia tukio ambalo lilinifanya nifikirie sana. Kwenye tiketi yangu, nilipangiwa kiti safu ya 14, lakini nilipokuwa natafuta kiti changu, nikagundua kitu cha ajabu — hakuna safu ya 13! Hapo ndipo nikaamua kuuliza...
  9. T

    Natamani kufuga kobe na tausi nitawapata wapi naombeni mwongozo.

    Wasilana na maliasili kwaajili ya vibali . Zaidi ya hapo kuna jamaa wa south africa na kenya wana breed hao tausi na wengineo . Watakushauri kuhusu chakula chao nk
  10. T

    Jumla ya ada ya kusoma degree ya udaktari katika chuo kikuu cha Kairuki kwa miaka yote mitano ni milioni 32, swali langu is it worth it ?

    Si ndo maana mnapewa gredi za juu kuliko vyuo vingine vya taaluma yenu .. ilhali walimu wanatoka kwenye hivyo vyuo vingine... Natamani takwimu za ufaulu wa mtihani wa mct ziwekwe hapa kwa vyuo
Back
Top Bottom