Maeneo niliyoyataja yanaanzia impala hadi mezaluna kunapo park shutle zinazoenda nairobi,hapo kuna vigogo na maeneo mengine ni tbl na kuelekea kwa jandu kote huko kuna vigogo kutoa milioni 500 sio kazi kuzuia.
Mkurugenzi wa Jiji la Arusha amezuia uvunjwaji wa ukuta wa uzio wa Jandu eneo la Corrido Area ambayo amejenga ndani ya barabara, na kuna nyumba nyingine eneo hilo limejengwa eneo la wazi.
Mbali na eneo hilo, eneo lingine ni la Meza luna na Bushback yote yamepigwa alama ya X, ilipofikia...
[=kbosho;14292678]mkuu kwa 1990 alikuwa na mlinzi yuleyule? mkuu mwaka 1990 kulikuwa chadema? Jee alivaa nguo cha chadema hapo ilikuwa ni mwaka 1990? aisee ukiwa CCM lazima ujichetue akil
Hiyo anawajibu lumumba walisema ile picha ya tarime
Magufuli akiwa raisi watanzania tutajuta kuwa watanzania,huyu ni kibaraka wa mkapa na mwinyi na kikwete yupo maalumu kulinda mali zao.inatakiwa atakaye thubutu kurudisha mali za umma.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.