Majambazi yavamia na kuua Tanga muda huu

Themi1

Senior Member
Jul 23, 2015
171
70
Majambazi yakiwa na silaa wamempiga risasi ya kichwa ndugu wa mmliki wa kituo cha mafuta pongwe na kutoweka na kiasi cha fedha kisicho julikana.
 
Magufuli aanzishe kikosi kazi cha kupambana na ujambazi maana nahisi something is wrong somewhere

Mungu tunusuru
 
Magufuli aanzishe kikosi kazi cha kupambana na ujambazi maana nahisi something is wrong somewhere

Mungu tunusuru
JK alianza vizuri sana ... Nakumbuka kule kanda ya ziwa home ilikuwa too much. Majambazi walivamia walikuwa na jeuri sana ... Walivamia nyumba, ziwani, kuteka magari ya abiria nk.

JK Aliwasambaratisha mpaka huko porini. Fyekelea mbali ... Siku hizi kanda ya ziwa ujambazi umepungua mno.

Sasa, naona Dar & Tanga imekuwa nayo majipu. JPM aanzie hapa alipokomea JK.
 
Nakua- Kiswahili gani hiki??? mnalalamika hamuwezi kuandika kiingereza sasa hata Kiswahili ni majanga..hizi shule za kata na division 5 ni majanga makubwa sana.
 
Nakua- Kiswahili gani hiki??? mnalalamika hamuwezi kuandika kiingereza sasa hata Kiswahili ni majanga..hizi shule za kata na division 5 ni majanga makubwa sana.

Mmh kwani mtu hawezi kukosea jamani mpk maneno yote hayo yakutoke.
 
Majambazi yakiwa na silaa wamempiga risasi ya kichwa ndugu wa mmliki wa kituo cha mafuta pongwe na kutoweka na kiasi cha fedha kisicho julikana.


Duh Mungu awape faraja Ndugu wa marehemu.mkuu themi 1 ni kile cha kama unaanzia Saruji kwenda muheza kilichopo karibu Na police Station ya pongwe au ni kile kama unakuja mjini from ngomeni,ukivuka kibao cha kapico kilichoandikwa PONGWE pale bondeni karibu Na kanisa la walokole?
 
Back
Top Bottom