Recent content by Themanace

  1. Themanace

    JamiiForums Tanzania Tofauti ya uwekezaji wa hati fungani na masoko mengine ya mitaji kama Hisa

    Asante sana , now nimeelewa vizuri kuhusu bonds ,Kama utapata na fasi tena tuta shukuru kama uta tueleza kuhusu treasury bills na kwa mifano rahisi haswa zile za 35 days , najua zinakua auctioned, je nazo zina kuwa calculated vipi ? tuki weka mfano huo huyo wa sh 10 million .Sorry kwa...
  2. Themanace

    JamiiForums Tanzania Tofauti ya uwekezaji wa hati fungani na masoko mengine ya mitaji kama Hisa

    Asante sana kwa hili sababu kubwa nilipata nafasi ya kwenda hadi BOT kupata ufafanuzi lakini nika toka kapa . Je una weza ni sadia namna ya kufanya calculation zake , kwa mifano rahisi pamoja na malipo ya Tax kwa uwekezaji ? Mfano kama nikiamua kuweza sh 10,000,000 kwenye Hati fungani , Je...
  3. Themanace

    JamiiForums Tanzania Wanaume wenye "six packs" na wanaojichubua

    Wasio jiamini ndio wana husisha
  4. Themanace

    JamiiForums Tanzania Wanaume wenye "six packs" na wanaojichubua

    hahahahhhaha matokeo yake mkewe ana honga vijamaa kwa sababu ya uzembe wake !
  5. Themanace

    JamiiForums Tanzania Wanaume wenye "six packs" na wanaojichubua

    safi sana, nadhani kaelewa somo !
  6. Themanace

    JamiiForums Tanzania Wanaume wenye "six packs" na wanaojichubua

    Huwezi kua na zo sababu umri wako hauruhusu, yes tafuta pesa na hakuna asiye tafuta pesa, kama hauna scial life hilo ni tatizo kwako na sio afya, lazima ujipe muda wa ku realx , sio muda wote uko bussy , wakati kumbe una kitu kinginge una cho kipenda unakifanya huku uki pretend kwamba huna...
  7. Themanace

    JamiiForums Tanzania Wanaume wenye "six packs" na wanaojichubua

    Unaona hiyo mistari miwili pembeni ya tumbo? ndio kinacho onyeshwa , sio kazi rahisi kupata !
  8. Themanace

    JamiiForums Tanzania Wanaume wenye "six packs" na wanaojichubua

    Yeap ndio mimi, kuna hater mmoja katoa kwenye facebook kaja leta huku ni watu waniponde , nina hisi ana kitambi kama cha mimba ya miezi 9 .
  9. Themanace

    JamiiForums Tanzania Wanaume wenye "six packs" na wanaojichubua

    Yes mwanamke utataka pesa , utapata buzi lako au a billionaire mzee anaye kupa kila kitu , ila kuna kingine ambacho roho inapenda kukishika, kukupapasa na kukikodolea macho na unaki kosa ,matokoe yake unakua kua so moody ,sad and lonely , ndio hapo inakuaja suala la six pax, huyo huyo...
  10. Themanace

    JamiiForums Tanzania Wanaume wenye "six packs" na wanaojichubua

    Mburulaz aka haters wote mlio jifanya kuponda pamoja na huyu aliye weka post , ni kwamba mna dhambi za vitambi, mademu zenu hawawazimii, sisi tukitaka tuna weza kula ma demu zenu na wakatupa hizo pesa mnazo wahonga , so mnabaki kuwa double looses tuu , ina uma eeh? hahahahaha ,Jinyongeni
Back
Top Bottom