Pia wadau ni namna gani napaswa kufanya ili nipate connections za wireless internet? maana kwenye PC yangu hakuna mahali pa kuunganishia wireless internet na niliambiwa kuna drivers zinamiss,ni zipi hizo?
Naomba kwa wenye uelewa wanipe namna ya kuwezesha laptop aina ya Samsung kuplay game za movie(eg.GTA Vice city) kwani nikiplay inaandika "no enough video space to play this game".
Mi mwenyewe nilitaka kubadilisha kwenda main campus lakini nimeshauriwa nibaki mabibo kwa sababu kuna mazingira mazuri kwa kujisomea,miundo mbinu mizuri,mazingira mazuri ya kupata msosi popote na usalama wa kutosha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.