Recent content by Thelapy

  1. Thelapy

    Naomba unishauri nikasomee nini kwenye Masters degree

    Mkuu,kwanza hongera kwa kunitia moyo hata mm nasoma hii degree,Niko mwaka tatu, ..kwa ushauri wangu chukua masters yoyote ya maths kwanza, au ukipenda masters ya psychology of exceptinalist in education.
  2. Thelapy

    Wanaume kuweni na tabia ya kuwabeba na kuwaogesha Wapenzi wenu !

    Naona shemeji yangu ,Mshana Jr anafaidi aiseeee.....[emoji3] [emoji3] [emoji3]
  3. Thelapy

    Barua ya Evarist Chahali kwa viongozi na wafuasi wa upinzani (Hususani CHADEMA)

    Umeshikiliwa akili,siku akili ikiachiliwa utacomment vizur!!!
  4. Thelapy

    Mjamzito mie leo nilikuwa na hamu ya kula vitumbua....

    Shida elimu ya ujasiriamali hawana!!;
  5. Thelapy

    Mjamzito mie leo nilikuwa na hamu ya kula vitumbua....

    Hata mm imewahi nitokea, nilienda kununua plain papers,katika ya stationary ya criss madesa ilyopo karibu na chuo cha duce, naona kuna mabox mengi ya ream yapo ,naambiwa SIUZI, wakati juzi yake nilinunua hapo,( nilichoka aiseee)
  6. Thelapy

    Ushauri: Abdul Nondo tekeleza hili jambo haraka sana

    Ushauri wako sio, tayari umeshamhukumu kuwa alijiteka,na aombe msamaha, hebu tuassume hajajiteka, naomba umshauri upya...
  7. Thelapy

    Rais Kikwete alikuwa anaajiri kila mwaka, yeye alitoa wapi hela?!

    Kipi bora, kuajiri walimu na madaktari, au kujenga reli?
  8. Thelapy

    Waraka wa Freeman Mbowe kwa Taifa: Adai kuna njama za kuwabambikia kesi za mauaji na uhaini

    Umeandika vizur mwanzoni na kunipa matumaini ya kuendelea kusoma, lakini umemalizia kwa kuonesha ngozi yako...
  9. Thelapy

    Halima Mdee: Natamani hali iwe ngumu sana mpaka tukose Bajeti ya Ikulu

    Umeelewa post? acha ukanjanja na uzwazwa!!
  10. Thelapy

    Wakuja

    Nimekaa siti ya mbele
Back
Top Bottom