Mkuu,kwanza hongera kwa kunitia moyo hata mm nasoma hii degree,Niko mwaka tatu, ..kwa ushauri wangu chukua masters yoyote ya maths kwanza, au ukipenda masters ya psychology of exceptinalist in education.
Hata mm imewahi nitokea, nilienda kununua plain papers,katika ya stationary ya criss madesa ilyopo karibu na chuo cha duce, naona kuna mabox mengi ya ream yapo ,naambiwa SIUZI, wakati juzi yake nilinunua hapo,( nilichoka aiseee)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.